Habari za michezo
AI FATEH DHIDI YA AI NAJMA KUKIPIGA LIGI KUU YA SAUDI LEO USIKU
Vardo
May 14, 2026
10:21 pm
Leo Alhamisi Mei 14, 2026, saa 19:55 uwanja wa Al Fateh Club Stadium mjini Al-Hofuf utakuwa mwenyeji wa Al Fateh dhidi ya Al Najma kataki mchezo wa Ligi Kuu ya Saudia (Saudi Pro League).
Al Fateh wapo nafasi ya 13 kwenye msimamo wakiwa na pointi 28 baada ya mechi 27, wakiwa na ushindi mara 7, sare 7 na hasara 13. Al Najma wapo nafasi ya mwisho (18) wakiwa na pointi 8 tu baada ya mechi 27 ushindi mmoja pekee, sare 5 na kufungwa 21. Hivyo ni mchezo wa kukwepa daraja kwa maana Al Fateh wanaziondolea nafasi, huku Al Najma wakihitaji muujiza wa kukaa darajani.
Timu hizi zimekutana mara moja pekee kwenye historia ya Ligi Kuu ya Saudia. Mchezo huo ulichezwa Januari 16, 2026 na ukamalizika kwa sare ya 1-1. Mabao yalifungwa na Abdullah Al-Anazi (dakika ya 12) kwa Al Fateh na Ali Jasim (dakika ya 75) kwa Al Najma. Katika mchezo huo, timu zote mbili zilifunga Hivyo historia inaonyesha mchezo ulikuwa wa karibu, licha ya Al Najma kuwa timu dhaifu msimu mzima.
Al Fateh wamepoteza mechi zao tatu za mwisho mfululizo katika Ligi Kuu. Katika mechi tano za nyumbani msimu huu, wamepata ushindi 3 na sare 4, lakini hali yao ya sasa ni mbaya . Wamefungwa mabao katika mechi 14 mfululizo, jambo linaloonyesha safu yao ya ulinzi ni dhaifu .
Al Fateh wana Mchezaji wao muhimu ni Mourad Batna, ambaye alikuwa na kiwango kizuri kwenye sare ya 2-2 ya mwisho. Kwa bahati, hakuna majeruhi kwa Al Fateh kikosi chao kiko tayari.
Ingia kwenye kasi ya kujishindia pesa kwenye michezo ya Kasino ya Mtandaoni kama vile, Keno, Aviator, Poker, Roulette, Wild Icy Fruits, Super Heli na mingine kibao. Jiunge leo kwa kutembelea tovuti ya meridianbet.co.tz au piga *149*10# kisha uanze safari yako ya ushindi.
Al Najma wamo kwenye hali mbaya zaidi kuliko timu yoyote kwenye ligi. Hawajashinda mechi yoyote katika mechi 19 zilizopita sare 4 na kufungwa 15. Katika mechi 27 za msimu, wamepata ushindi mmoja tu huo ulikuwa Januari 2026. Jisajili
Wamepoteza mechi 6 mfululizo kabla ya mchezo huu. Ugenini, hawajashinda hata mechi moja msimu mzima wamepata sare 2 na kufungwa 10. Wachezaji wao muhimu ni winga Ali Jasim (Iraq, mfungaji wao bora) na kiungo Guga, Hata hivyo, beki Mohammed Al-Kunaydiri yuko nje kwa sababu ya jeraha hadi Agosti 2026.