Habari za michezo

AL NASSR KUTANGAZWA UBINGWA WA SOUD PRO LIGI MBELE YA DAMAC

Vardo May 21, 2026 10:30 pm

Al Nassr wanaongoza Ligi Kuu ya Saudi Arabia kwa pointi 83 baada ya mechi 33, pointi 2 mbele ya Al Hilal (pointi 81) wanaoshika nafasi ya pili. Mechi hii ya mwisho ya msimu ni fainali ya utani kwa Al Nassr ushindi tu ndio utawaongezea taji la ubingwa.

Cristiano Ronaldo na wenzake wameweka rekodi ya kushangaza ya ushindi 27, sare 2 na kupoteza 4 msimu huu, wakifunga mabao 87 na kuruhusu 27 tu. Kwa upande mwingine, Damac wana pointi 29 wakiwa nafasi ya 15, hatarini kushuka daraja au wanaweza kuhifadhi nafasi yao kwa usawa.

Al Nassr wanaingia kwenye mchezo huu wakiwa na mwelekeo wa kushangaza. hawajapoteza mechi yoyote kati ya 20 za mwisho za Ligi Kuu. Hata hivyo, walipata pigo Jumamosi Mei 16 walipopoteza Fainali ya AFC Champions League dhidi ya Gamba Osaka, na baadhi ya wachezaji walipewa mapumziko ya saa 24.

Damac wamekuwa na matatizo makubwa katika mechi 5 za mwisho, wameshinda moja tu, sare moja, na hasara tatu, huku wakifunga mabao 6 na kukubali 5. Wanahitaji ushindi au sare kulingana na matokeo ya timu nyingine za kukaa Ligi.

Ingia kwenye kasi ya kujishindia pesa kwenye michezo ya Kasino ya Mtandaoni kama vile, Keno, Aviator, Poker, Roulette, Wild Icy Fruits, Super Heli na mingine kibao. Jiunge leo kwa kutembelea tovuti ya meridianbet.co.tz au piga *149*10# kisha uanze safari yako ya ushindi.

Al Nassr wana wachezaji wanne muhimu wanaokosekana kwenye kikosi. Marcelo Brozović aliondoka kwenye mechi dhidi ya Al Hilal akiwa na jeraha na kocha Jorge Jesus amethibitisha kuwa anahatari yakukosa mchezo huu. Angelo ana jeraha la paja na hajathibitishwa kurejea. Abdullah Al-Khaibari ana jeraha la paja pia, wote wakiwa katika hali ya kutazamwa siku hadi siku. Abdulelah Al-Amri pia yumo kwenye orodha ya wagonjwa. Hii inaacha pengo kubwa katikati na safu ya ulinzi kwa Al Nassr. Kwa upande mwingine, Damac wana kikosi timamu.

Takwimu hazina huruma kwa Damac. Katika mechi 11 za Ligi Kuu kati ya timu hizi, Al Nassr wameshinda mara 10, Damac mara moja tu, na sare moja. Mwaka huu wamekutana Januari 21, 2026, Al Nassr wakishinda 2-1 ugenini. Katika michezo ya nyumbani dhidi ya Damac, Al Nassr wameshinda mechi zote tano za mwisho, wakiwemo 4-1 (2021), 2-0 (2024), na 2-1 (2023). Damac hawajawahi kushinda uwanjani wa Al Nassr katika historia.

Al Nassr watamtegemea Cristiano Ronaldo, ambaye amekuwa na msimu mzuri na anataka kuhitimisha kwa taji. Bila Brozović katikati, Sadio Mané na Otávio watalazimika kubeba jukumu la kuunda nafasi.

Damac watajiandaa kwa safu ya ulinzi mnene na kukaba kwa nguvu, wakilenga kusubiri makosa ya Al Nassr kwenye mashambulizi ya haraka. Hata hivyo, uwanja wa Al-Awwal Park (Riyadh) utajaa mashabiki wa nyumbani, Kwa kuzingatia historia ya makabiliano, umuhimu wa taji, na kiwango cha wachezaji, Al Nassr wanatarajiwa kushinda kwa urahisi na kutwaa taji. Jisajili

DAKIKA 50 ZAMTOSHA NEYMAR KUVUTA MABILIONI KILIO CHA MWAMNYETO CHAMFANYA MOALLIN KUFUNGUKA HADHARANI