Home Authors Posts by Abubakar

Abubakar

1083 POSTS 0 COMMENTS

USIKU WA TUZO ZA BMT…YANGA WAZIKIMBIZA SIMBA & AZAM FC

0
USIKU wa Tuzo za Baraza la Michezo  Taifa, ulifana sana ambapo klabu ya Yanga imefanikiwa kutwaa Tuzo ya Timu Bora ya Kiume ya Mwaka...

MO DEWJI AWAJIA JUU WANAOTAKA AONDOKE SIMBA…ONA ALICHOSEMA

0
Rais wa Heshima na Mwekezaji wa Simba SC, Mohammed  Dewji "MO" ameibuka kwa  nguvu sana mitandaoni, na kuwafanya mashabiki  wa timu hiyo kufikiria mambo...

MAPYA YAIBUKA UJENZI UWANJA WA YANGA…INJINIA HERSI AFUNGUKA UKWELI

0
RAIS wa Yanga, Injinia Hersi Said amesema kuhusu mipango ya kujenga uwanja wao wa kisasa katika eneo la Jangwani, walipewa machaguo mawili, walipwe fidia...

SIMBA WASHITUKIA KAMCHEZO KABAYA…WAJIPANGA KIMYA KIMYA

0
UONGOZI wa Simba SC umeshitukia njama zinazoendelea na sasa wameandaa Sera maalum ya kufanya usajili mzuri ili kufanya makubwa kwa msimu ujao kwenye mashindano...

TETESI ZA USAJILI YANGA…LOBOTA ANUKIA…ANAJUA KUFUNGA

0
KLABU ya Yanga ipo kwenye mazungumzo ya karibuni zaidi na mshambuliaji wa klabu ya Ihefu Emmanuel Bola Lobota. Lobota aliyejiunga na Ihefu katika dirisha dogo...

MTAKOMA…YANGA KUJENGA UWANJA WAO…KILA KITU TAYARI

0
HABARI ZA YANGA LEO; Serikali imefikia uamuzi wa kutoa ruhusa kwa klabu ya Yanga kujenga uwanja wake wa kisasa katika eneo la Jangwani yalipo...

MANGUNGU NA TRY AGAIN WAGOMA KUJIUZULU…SIMBA MOTO UNAWAKA

0
HABARI ZA SIMBA LEO; Iko wazi sasa Mwenyekiti wa klabu hiyo Murtaza Mangungu na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Salim Abdallah ‘Try Again’ wamesema...

BAJETI YA YANGA NI BIL 24.5…SIMBA BADO HAKUELEWEKI

0
MABINGWA wa Ligi kuu na Kombe la Shirikisho Yanga SC wametaja bajeti ya klabu hyio kwa msmu uliopita, ambapo kwa msimu ujao Bajeti yao...

MHE HAMIS KIGWANGAlLA AMJIA JUU MO DEWJI…SIMBA INAKUDAI PESA NYINGI

0
WAKATI ambao Muwekezaji wa Simba Mohamed Dewji MO akipanga mipango ya msimu ujao, akiwa ameanza na wajumbe wake kuwataka wajiuzulu, kumeibuka mambo mengi na...

MSIGWA ATABIRI MAKUBWA YANGA…ITAFIKA LEVEL ZA MAN UTD, ARSENAL

0
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa akimwakilisha waziri, Damas Ndumbaro katika mkutano mkuu wa mwaka wa Yanga 2024, amesisitiza...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS