Abubakar
KITAKACHOIPELEKA YANGA MAKUNDI CAF NI HIKI HAPA
Wakati Simba wakifanikiwa kucheza hatua ya makundi ya michuano ya CAF mara tano katika misimu sita iliyopita, wenzao Yanga ndani ya muda huo wametinga...
RALLY BWALYA AWAPA SIRI SIMBA…KUIMALIZA AL AHLI
Kocha Mkuu wa Simba, Fadlu Davids anaamini wachezaji wake wanaweza kufanya vyema katika mchezo huo wa maamuzi dhidi ya Al Ahli Tripoli.
“Itakuwa mechi tofauti...
MECHI YA SIMBA VS AL AHLI REKODI ZINAMBEBA MNYAMA
Katika misimu sita iliyopita, Simba walikuwa na rekodi ya kuvutia wakiwa nyumbani katika michezo ya maamuzi kabla ya kutinga makundi ya Ligi ya Mabingwa...
SIMBA NA YANGA WANA JAMBO LAO WIKIENDI HII.
WIKIENDI hii Yanga na Simba zina mechi za kuamua hatma zao katika michuano ya kimataifa kila mmoja akipambania rekodi zake.
Wakati wakipambania rekodi, kuna matumaini...
IMEFICHUKA MPANZU AFICHWA HOTELINI NA SIMBA…MO DEWJI AHUSIKA
WAKATI Simba inaendelea kujipanga kuwang’oa Waarabu wa Libya Al Ahli Tripoli, mabosi wa klabu hiyo wana akili nyingine kubwa na bilionea Mohammed Dewji ‘MO’...
NAMBA ZA DUBE UWANJANI ZINAWAPA JEURI YANGA
NYOTA mpya wa Yanga, Prince Dube ana balaa zito ndani ya kikosi cha Yanga kwenye mechi ambazo anacheza licha ya kushindwa kufunga mabao mengi...
RAIS WA CAF ASHANGAZWA NA SIMBA…ALAHLI KUKIONA CHA MOTO
Kabla hata barua ya malalamiko ya Klabu ya Simba haijaanza kufanyiwa kazi, Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), Patrice Motsepe, ameagiza...
MAAJABU YA ATEBA SIMBA…SIFA ZAKE NI HIZI
Leo tunaangazia kuhusu Leonel Ateba, mshambuliaji mpya wa Simba SC, ambaye ni raia wa Cameroon.
Ateba amejiunga na timu hiyo baada ya kuachana na USM...
YANGA YA GAMONDI YAPIGA HESABU ZA MAKUNDI CAF
HUKU bado wakiwa hawajatinga hatua ya makundi wakisubiri mchezo wa marudiano hatua ya kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika, Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi, ameanza...
FADLU ASEMA BADO HAIJAISHA…ANAWATAKA MASHABIKI KWA MPAKA
KOCHA wa Simba, Fadlu Davids, amesema bado hawajamaliza kazi ya kusaka tiketi ya kutinga hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika na wanatakiwa...