YANGA YAPANGWA NA MAZEMBE…BENCHIKA NDANI
ILISUBIRIWA SANA, hatimaye leo imewadia baada ya droo ya CAF ligi ya mabingwa Afrika kuchezeshwa rasmi. Yanga ambao ni wawakilishi pekee wa Tanzania kwenye michuano…
ILISUBIRIWA SANA, hatimaye leo imewadia baada ya droo ya CAF ligi ya mabingwa Afrika kuchezeshwa rasmi. Yanga ambao ni wawakilishi pekee wa Tanzania kwenye michuano…
MWENYEKITI wa Simba Murtaza Mangungu amemshukuru Muwekezaji wapiga timu hiyo ambaye pia ni Mwenyekiti Bodi ya Wakurugenzi ya Simba Mohammed Dewji “MO Dewji” kwa kusisitiza…
MOHAMED DEWJI Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba na Rais wa Heshima wa klabu hiyo amesema kuwa, ili mambo ya maboresho ya Simba yatimie…
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba Mo Dewji hii leo amezindua rasmi ramani ya mchoro wa kambi mpya ya Simba iliyopo Bunju jijini Dar…
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Simba, MO Dewji leo atakuwepo kuuongoza mkutano mkuu wa mwaka wa Simba Sports Club utakaofanyika kwenye ukumbi wa Kimataifa wa…
Karibu Tanzania Moussa Pinpin Camara, wewe si kipa bora wa kwanza kufungwa Tanzania, nikuahidi. UTAFUNGWA TENA.. Hakuna KIPA ASIYEFUNGWA lakini gumzo huwa ni amefungwaje. Mabao…
BAADA ya klabu ya Simba kumtambulisha rasmi winga wa Kimataifa wa DR Congo Ellie Mpanzu, baada ya kusajiliwa kwa mkataba wa miaka miwili ambaye tayari…
KOCHA MKUU wa Simba SC Fadlu Davids ameonesha kupatwa na hofu, kuelekea mchezo wa Kariakoo dabi dhidi ya watani zao Yanga. Fadlu ameonesha hali hiyo…
Feisal Salum kiungo wa mpira amekutana na mabosi wa Azam FC siku ya Jana Ijumaa, ili kujadili muafaka wake katika viumga vya Azam Complex Chamazi.…
Timu ya wanawake ya Simba SC, Simba Queens imefanikiwa kushinda nafasi ya tatu baada kuichakaza bila huruma magoli manne bila majibu timu ya CEASIAA katika…