Abubakar
SIMBA YASAJILI MCHEZAJI WA AZAM FC…ANAJUA BALAA
UONGOZI wa Klabu ya Simba unaendelea kuimarisha kikosi chao hii ni baada ya kukamilisha usajili wa kinda kutoka timu ya vijana chini ya miaka...
SUALA LA MANULA NGOMA NGUMU SIMBA
BADO kesho ya golikipa Aishi Manula haieleweki ndani ya Simba Kwa kuwa mpaka Sasa hajaungana na wenzake Pre- Season inayoendelea Misri.
Taarifa zinadai kuwa, ni...
DJUA SHABANI KUCHEZA LIGI KUU YA NBC MSIMU UJAO
ALIYEWAHI kuwa mlinzi wa kulia ndani ya Yanga SC, raia wa DR Congo Djuma Shabani amejiunga na klabu ya Namungo Kwa mkataba wa mwaka...
SIMBA INASUKA KIKOSI CHAKE…KAZI IMEANZA
MTAALAMU KABISA Fadlu Davids Kocha Mkuu wa Simba ana kibarua cha kusuka upya kikosi hicho kuelekea msimu wa 2024/25 ambao unatarajiwa kuwa na ushindani...
BREAKING NEWS…SIMBA YAMTAMBULISHA KELVIN KIJIRI…ACHUKUA NAFASI YA MWENDA & KAPOMBE
UONGOZI WA SIMBA Umethibitisha kuinasa saini ya mlinzi wa kulia, Kelvin Kijiri kutoka Klabu ya Singida Fountain Gates kwa mkataba wa miaka 2.
Kijiri (24)...
KANOUTE ANUKIA ZAIDI JS KABYLE YA BENCHIKA
KIUNGO mkabaji aliyetemwa na Simba hivi karibuni, Sadio Kanoute 'Putin' yupo mbioni kutua klabu ya Ligi Kuu ya Algeria, JS Kabylie.
Inadaiwa kuwa, Kocha Abdelhak...
ALIYEWAI KUPITA SIMBA APATA CHIMO JIPYA…HATMA YAKE BADO HAIJULIKANI
MASTAA mbalimbali wa Ligi Kuu Bara wakiwamo nyota wa zamani wa Simba na Yanga, akiwamo Shaaban Idd Chilunda na Waziri Junior wameonekana kupata chimbo...
FRIJI LA BALEKE HALIGANDISHI…AJITAMBULISHA YANGA
Mshambuliaji wa TP Mazembe, Jean Baleke ambaye alikuwa kwa mkopo kunako klabu ya Al Ittihad ya Libya amethibitisha kujiunga na Young Africans Sc kama...
TSHABALALA AFARIKI DUNIA…APIGWA RISASI
UNAMFAHAMU Mohammed Hussein wa Simba, uliwahi kujiuliza jina lake la Tshabalala limetoka wapi? asili ya jina hilo linatoka Afrika Kusini ambapo KLABU ya Orlando...
JOSEPH AMUACHIA BALEKE NAMBA… YANGA YAMPA THANK YOU
MABOSI wa Singida Black Stars hawataki utani ambapo kwenye safu ya ushambuliaji wamemuongeza mtambo wa mabao Joseph Guede ambaye msimu uliopita wa 2023/24 alikuwa...