PIERRE ASAINI DILI LA MIAKA MITANO TOTTENHAM
KLABU ya Tottenham inayonolewa na Kocha Mkuu, Jose Mourinho imekamilisha usajili wa kiungo Pierre-Emile Hojbjerg kutoka Southampton kwa dili la miaka mitano. Kiungo huyo…
KLABU ya Tottenham inayonolewa na Kocha Mkuu, Jose Mourinho imekamilisha usajili wa kiungo Pierre-Emile Hojbjerg kutoka Southampton kwa dili la miaka mitano. Kiungo huyo…
BAKARI Mwamnyeto, beki mpya ndani ya kikosi cha Yanga, amesema kuwa atawashangaza wengi ndani ya kikosi hicho kwa kuwa wengi wanafikiri kwamba atashindwa kupata…
AGOSTI 10 na 11 kesi ya kiungo mshambuliaji wa Yanga, Bernard Morrison kesi yake ya mvutano wa kimkataba kuhusu Yanga ilikuwa inaendelea kuskilizwa na leo…
UONGOZI wa Gwambina FC umesema kuwa nafasi ya aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga ndani ya timu hiyo ni kiongozi wa masuala ya ufundi (Technical…
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Jumatano
Uongozi wa Azam FC imesikitishwa sana na tabia ya Klabu ya Yanga ambayo wamefanya leo ya kumuandikia Barua mchezaji wa Klabu hiyo Salum Abubakar Sure…
INAELEZWA kuwa Ofisa Mtendaji Mkuu wa zamani wa Simba, Senzo Mazingisa, Jumatatu jioni Agosti 10, 2020 alikabidhi ofisi na nyaraka za klabu hiyo. Kuhusu mbadala…
MWENYEKITI wa Kamatiya Hadhi ya Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania,(TFF), Elias Mwanjala amesema kesi ya Bernard Morrison itaendelea kuskilizwa kesho. Kiungo wa Yanga, Morrison…
UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa umedhamiria kufanya makubwa ndani ya msimu ujao wa 2020/21 ndio maana umeanza kujifua mapema kabla ya ligi kuanza. Azam…
KUTOKANA na mvutano wa kesi ya Bernard Morrison kuhusu suala la mkataba wake uongozi wa Simba umetoa pendekezo la namna ya kufanikisha suala hilo…