CHAMA CLATOUS AFUNGUKIA ISHU YAKE YA KUIBUKIA YANGA
CLATOUS Chama, kiungo mshambuliaji wa Simba amesema kuwa hana hiyana iwapo atahitajika kukipiga ndani ya Yanga kwani kazi ya mchezaji ni kucheza mpira.Chama amekuwa kwenye…
CLATOUS Chama, kiungo mshambuliaji wa Simba amesema kuwa hana hiyana iwapo atahitajika kukipiga ndani ya Yanga kwani kazi ya mchezaji ni kucheza mpira.Chama amekuwa kwenye…
JUZI Jumapili, Yanga walipokea kipigo cha mabao 4-1 dhidi ya Simba katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC), matokeo ambayo…
BAKARI Mwamnyeto, nahodha wa Klabu ya Coastal Union iliyo chini ya Kocha Mkuu, Juma Mgunda amesema kuwa watazidi kupambana ili kufikia malengo waliyojiwekea.Beki huyo kipenzi…
INAELEZWA kuwa nyota wa zamani wa Azam FC, Kipre Tchetche ambaye anakipiga kwa sasa soka la kulipwa nchini Malaysia yupo kwenye mazungumzo na mabosi hao …
BIASHARA United iliyo chini ya Kocha Mkuu, Francis Baraza leo ina kazi ya kusaka pointi tatu muhimu mbele ya Polisi Tanzania kwenye mchezo wa Ligi…
LUIS Miqussone, kiungo mshambuliaji wa Simba amesema kuwa hesabu kubwa kwa sasa ni kuona wanaendelea kupata ushindi Kwenye mechi ambazo zinafuata ikiwa ni pamoja na…
LIPULI FC leo, Julai 14 ina kibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya KMC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Uwanja wa Samora, Iringa.Lipuli…
HAJI Manara, Ofisa Habari wa Simba amesema kuwa iwapo ingetokea timu yake ingefungwa mbele ya Yanga, Julai 12 alikuwa amepanga kuhama nchi ya Tanzania kwa…
KIVUMBI cha Ligi Kuu Bara kinaendelea Julai 15 leo ambapo timu sita zitakuwa kazini kusaka pointi tatu muhimu.Mambo yatakuwa namna hii:-Ruvu Shooting v Mwadui FC,…
KIKOSI cha Azam FC kilicho chini ya Kocha Mkuu Arstica Cioaba raia wa Romania jana, Julai 14 kimewasili Morogoro ambapo kitakuwa na mchezo wa Ligi…