BEKI WA NKANA FC, HASSAN KESSY ATAJA ATAKAPOKUWA IWAPO DILI LAKE LITABUMA NKANA
HASSAN Kessy, beki wa Nkana FC inayoshiriki Ligi Kuu ya nchini Zambia amesema kuwa akikwama kubaki ndani ya klabu hiyo ataibukia Afrika Kusini.Mkataba wa Kessy…
HASSAN Kessy, beki wa Nkana FC inayoshiriki Ligi Kuu ya nchini Zambia amesema kuwa akikwama kubaki ndani ya klabu hiyo ataibukia Afrika Kusini.Mkataba wa Kessy…
SIMBA iliyo chini ya Kocha Mkuu, Sven Vandenbroeck, wachezaji wake wengi walikuwa wameanza kujenga ushkaji na nyavu kabla ya Ligi Kuu Bara kusimamishwa kutokana na…
MATAJIRI wa Dar es Salaam, Azam FC wameanza mazoezi kwa ajili ya kujiaandaa kumalizia vigongo vyao 10 ndani ya Ligi Kuu Bara pamoja na kutetea…
HIKI ndicho kikosi cha kwanza cha mkongwe ndani ya Klabu ya Yanga anayekipiga pia ndani ya timu ya Taifa ya Tanzania Kelvin Yondani.Naye pia anaamini…
KUNAPOTOKEA tatizo lolote unaomba msaada na ukija huwezi kuchagua ni yupi anakuletea huo msaada. Unachotaka wewe ni kulitatua hilo tatizo lako ili maisha mengine yaendelee…
HUU ndio MUONEKANO wa beki kisiki wa Simba Pascal Wawa baada ya kukaa kupita kipindi cha mpito cha kuchukua tahadhari dhidi ya Virusi vya Corona…
KESHO ndani ya SPOTIXTRA Jumapili usikose kupata nakala yako
KLABU ya Kagere Sugar iliyo chini ya Kocha Mkuu, Mecky Maxime imeshaanza maandalizi kwa ajili ya mechi za Ligi Kuu Bara pamoja na Kombe la…
IMEELEZWA kuwa uongozi wa Simba umeanza kufanya mchakato wa kuwarejesha wachezaji wake watatu ambao wamekwama kutokana na mipaka yao kufungwa.Taarifa zinaeleza kuwa kwa sasa kumpata…
ZIMEBAKI siku 13 kwa sasa kabla ya kuifikia Juni 13 ambapo vumbi ya Ligi Kuu Bara, Ligi Daraja la Kwanza na la Pili inatarajiwa kuanza…