WACHHEZAJI SIMBA WATIA TIMU MO ARENA KWA AJILI YA MAZOEZI
KIKOSI cha Simba leo kimetia timu katika uwanja wa Mo Arena kuanza kufanya mazoezi kwa ajili kuanza maandalizi kuelekea kwenye mechi za Ligi Kuu Bara.Wachezaji…
KIKOSI cha Simba leo kimetia timu katika uwanja wa Mo Arena kuanza kufanya mazoezi kwa ajili kuanza maandalizi kuelekea kwenye mechi za Ligi Kuu Bara.Wachezaji…
TIMU ya Polisi Tanzania inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara tayari imeanza mazoezi kujiaandaa na Ligi Kuu Bara.Masuala ya michezo yalisimamishwa na Serikali Machi 17 kutokana…
UONGOZI wa Simba umesema kuwa bado unaendelea kufanya mawasiliano na nyota wao ambao hawajawasili kambini ili kujua namna gani wataweza kuja Bongo.Miongoni mwa wachezaji wa…
BAADA ya Klabu ya Yanga kudaiwa kuwa kwenye harakati za chini kwa chini za kumrejesha straika wao wa zamani raia wa DR Congo, Heritier Makambo,…
KWA upande wa wachezaji wakiwa ndani ya uwanja kazi yao huwa ni moja kutafuta ushindi amba unapatikana kwa kufunga mabao.Ndani ya Ligi KuuBara kuna wahsambuliaji…
JUMA Pondamali aliyekuwa kocha wa makipa wa Yanga amesema kuwa anaidai timu hiyo.Pondamali amesema kuwa anaida Yanga toka miaka ya 70 na masuala hayo yanajulikana…
WACHEZAJI wa Simba leo baada ya kuwasili kambini wamefanyiwa vipimo vya afya ambavyo ni muhimu kwa ajili ya kuelekea maandalizi ya kumaliza mechi za mzunguko…
NICOLAS Wadada beki wa Azam FC ni miongoni mwa wachezaji wa kigeni ambao kwa msimu huu wa 2019/20 wamekuwa na mchango mkubwa ndani ya klabu…
CLATOUS Chama, kiungo mshambuliaji wa Simba yupo kwenye mchakato wa kurejea nchini ili kuungana na wachezaji wenzake ambao wameingia kambini leo maeneo ya Mbweni.Habari zinaeleza…