LIPULI YAOMBA MWENDELEZO WA SAPOTI KUTOKA KWA WADAU
UONGOZI wa Klabu ya Lipuli umewaomba wadau waendelee kuipa sapoti timu hiyo ili iweze kufikia malengo wayojiweka.Akizungumza na Saleh Jembe, Mjumbe wa Kamati ya Mashindano…
UONGOZI wa Klabu ya Lipuli umewaomba wadau waendelee kuipa sapoti timu hiyo ili iweze kufikia malengo wayojiweka.Akizungumza na Saleh Jembe, Mjumbe wa Kamati ya Mashindano…
IKIWA imebaki wiki moja kufikia Juni Mosi, mwaka huu siku ambayo ligi za hapa nchini zitarejea, Serikali, Bodi ya Ligi (TPLB) na Shirikisho la Soka…
KIUNGO Mzambia anayekipiga kunako kikosi cha Simba, Clatous Chama, amesema akiwa anacheza kwa kushambulia akitokea upande wa kushoto, anakuwa mtamu zaidi kuliko nafasi nyingine uwanjani.…
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa una imani ya kufanya maajabu pale Ligi Kuu Bara itakaporejea Juni Mosi kwa wachezaji wao kujituma kupata matokeo ili kufikia…
FRANCIS Kahata ndiyo jembe la kazi la Simba ambalo inaelezwa kuwa linatua leo kuungana na mabingwa hao watetezi kuendelea mbio za kuufukuza ubingwa zinazotarajiwa kurejea…
HAPA ndipo timu ya Mbwana Samatta Aston Villa ilipokuwa imesimama kutokana na janga la Virusi vya Corona. Ipo nafasi ya 19 baada ya kucheza jumla ya…
ARISTICA Cioaba, Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa atatumia masaa 336 ambayo ni siku 14 kurudisha makali ya kikosi.Ligi Kuu Bara ilisimamishwa Machi 17…
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Jumatatu
BEKI wa Yanga, Ally Mtoni ‘Sonso’ amesema kuwa yupo tayari kwa ajili ya mapambano ndani ya Ligi Kuu Bara kumaliza mechi zilizosalia ndani ya msimu…