Latest Posts

GARETH BALE AUKUMBUKA MPIRA

STAA wa Real Madrid, Gareth Bale amefunguka kuwa anatamani sana kurejea uwanjani, lakini suala la usalama wa afya ni muhimu kwanza.   Hii ni kutokana na…

NYOTA YANGA AMEKUMBUKA MAKELELE YA MASHABIKI

DITRAM Nchimbi, mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa amekumbuka kurudi uwanjani kucheza ila anashindwa kutokana na janga la Virusi vya Corona ambavyo vinaitikisa dunia.Akizungumza na Saleh…

NDOTO ZA KAHEZA NI KUKIPIGA NJE YA BONGO

MARCEL Kaheza, mshambuliaji wa Polisi Tanzania amesema kuwa ndoto zake ni kuwa mchezaji wa kimataifa baada ya miaka mitano hapo mbele.Kaheza mwenye mabao saba na…

KUMBE KAGERE ALIKUWA ANAPATA TABU HII UWANJANI

MEDDIE Kagere, mshambuliaji wa Simba amesema kuwa mabeki wengi wamekuwa wakimkamia uwanjani jambo ambalo linamfanya awe makini muda mwingi akiwa ndani ya uwanja.Kagere mwenye mabao…

NGOMA BADO NGOMA NZITO AZAM FC

ARSTICA Cioaba, Kocha Mkuu wa Azam FC ameshikilia mkataba wa nyota wa timu hiyo Donald Ngoma.Cioaba raia wa Romania kwa sasa yupo zake likizo baada…