Uncategorized

MWANA FA:NIMEPONA CORONA, WADUDU WALINING’ANG’ANIA

admin April 27, 2020 2:32 pm


HAMISI Mwinjuma maarufu kama Mwana FA mwimbaji wa Bongo Fleva, amesema kuwa kwa sasa tayari amepona maambukizi ya Virusi vya Corona alivyokuwa anauguza.

FA alikuwa miongoni mwa wagonjwa wa mwanzo kabisa kujitangaza kupitiaukurasa wake wa Istagram kuwa amepata maambukizi hayo na alijitenga kwa muda na familia yake kabla ya kuwa chini ya uangalizi wa Serikali.

FA amesema:”Nimekaa siku 28 kwenye isolation, nimepimwa mara 8 hadi kupatikana negative, mara zote nilizopimwa nilikuwa napatikana positive na ukipatikana positive wanakaa masaa 72 hadi kukupima tena! Naweza kusema ni kama huyu mdudu alining’ang’ania”,” amesema.


KAGERA SUGAR WAO WANAWAFUATILIA KWA MTINDO HUU WACHEZAJI NDOTO ZA KAHEZA NI KUKIPIGA NJE YA BONGO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply