XAVI HERNANDEZ ATAKA KUINOA BARCELONA
STAA wa zamani wa Klabu ya Barcelona, Xavi Hernandez amefunguka kuwa kwa sasa ni wakati sahihi kwa yeye kurejea na kwenda kuinoa klabu yake hiyo…
STAA wa zamani wa Klabu ya Barcelona, Xavi Hernandez amefunguka kuwa kwa sasa ni wakati sahihi kwa yeye kurejea na kwenda kuinoa klabu yake hiyo…
JANGA la Virusi vya Corona bado linaendelea kuitikisa dunia tena kwa sasa ni kwa spidi kubwa huku mambo ya mbeleni yakibaki kuwa gizani sababu haifahamiki hatma yake.…
Paris, Ufaransa. Olivier Giroud amefikia mwafaka kuhusiana na masilahi binafsi na Inter Milan inayotaka huduma katika majira ya kiangazi. Taarifa za awali zimedai mshambuliaji nguli…
NA SALEH ALLY TUKO katika wakati mgumu na tunapaswa kukubaliana na hilo hata kama tunaendelea kuchukua tahadhari kuendelea kupambana na maambukizi ya Covid 19 maarufu…
Na Saleh Ally WAKATI dunia ikipambana na Corona, gumzo kubwa limeibuka katika Ligi Kuu England baada ya kuonekana mwana wa mfalme wa Saudi Arabia, Mohamed…
MKATABA wa kiungo machachari ndani ya Newcastle United Matty Longstaff unameguka Juni 30 msimu huu huku Klabu ya AC Milan ikiwa sokoni kuisaka saini yake.Inaripotiwa…
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa unawafuatilia kwa karibu nyota wote wanaokipiga ndani ya Ligi Kuu Bara ili waweze kuona namna gani wanaweza kuzipata saini zao…
GADIEL Michael, beki wa Simba anayevaa jezi namba mbili amesema kuwa wakati huu ni muhimu kila mmoja akachukua tahadhari dhidi ya Virusi vya Corona.Beki huyo…
BENEDICT Tinoko, mlinda mlango wa Kagera Sugar amesema kuwa likizo ya lazima waliyopewa kutokana na maambukizi ya Virusi vya Corona imempa nafasi ya kumwona binti…
KASSIM Shabani Haruna ni nahodha wa Sahare All Star FC inayoshiriki Ligi Daraa la Kwanza ametupia mabao manne na kutoa pasi nne akiwa amecheza mechi 12.Timu…