NAMUNGO: TUTAREJEA KWENYE UBORA WA AWALI
HITIMANA Thiery, Kocha Mkuu wa Namungo amesema kuwa muda wa mapumziko kwa sasa utawarejesha kwenye morali wachezaji wake.Ligi Kuu Bara imesimamishwa kwa muda wa siku…
HITIMANA Thiery, Kocha Mkuu wa Namungo amesema kuwa muda wa mapumziko kwa sasa utawarejesha kwenye morali wachezaji wake.Ligi Kuu Bara imesimamishwa kwa muda wa siku…
WALLACE Karia, Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) amesema kuwa wachezaji wote wa kigeni wanaotumika ndani ya Tanzania iwapo wataondoka nchini hawataruhusiwa kurudi tena…
BERNARD Morrison, kiungo mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa kwa kipindi hiki cha maambukizi ya Corona anachukua tahadhari kwa kukaa ndani na kuskiliza muziki ili kuwa…
MUONEKANO wa UKURASA wa mbele GAZETI la CHAMPIONI Jumamosi, nafasi ya kushinda ndinga mpya ni yako
LIGI Kuu Tanzania Bara imesimamishwa kwa muda wa siku 30 ili kupambana na kusambaa kwa virusi vya Corona ambavyo ni janga la dunia kwa sasa.…
HOFU kubwa kwa sasa imetawala kila kona ya dunia kutokana na kusambaa kwa Virusi vya Corona ambavyo vilianza kusambaa mwezi Desemba mwaka jana nchini China.…
MEDDIE Kagere, mshambuliaji wa Simba leo amerejea nchini Rwanda kwa ajili ya mapumziko mafupi baada ya Ligi Kuu Bara kusimamishwa kwa muda wa siku 30.Serikali…
BERNARD Morrison kiungo mshambuliaji wa Yanga leo amerejesha mkataba wake kwa mabosi wake ambao ni kampuni ya GSM kupitia kwa Mkurugenzi wa uwekezaji Hersi Said baada…
JONAS Mkude, nyota wa Simba amesema kuwa sababu kubwa inayomfanya ashindwe kujiunga na timu ya Taifa ni matatizo ya kibinadamu yanayomkabili na siyo suala la…
Matokeo ya Luc Eymael baada ya kupewa majukumu ya kuwa Kocha Mkuu mechi za Ligi Bara yapo namna hii:-Januari 15, Yanga 0-3 Kagera Sugar.Januari 13,…