NYOTA ANAYEPIGIWA HESABU NA SIMBA ANA TUZO MOJA MKONONI HUYU HAPA MBUKINABE
SOGNE Yacouba, nyota wa Asante Kotoko ya Ghana ambaye inaelezwa kuwa mkataba wake umemalizika ndani ya klabu hiyo hivyo yupo huru kujiunga na klabu yoyote…
SOGNE Yacouba, nyota wa Asante Kotoko ya Ghana ambaye inaelezwa kuwa mkataba wake umemalizika ndani ya klabu hiyo hivyo yupo huru kujiunga na klabu yoyote…
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la CHAMPIONI Ijumaa
HAMIS Mwinjuma maarufu kama Mwana FA amesema kuwa licha ya kugundulika na Virisu vya Corona bado yupo fiti asilimia mia.FA amethibitisha kuwa amekutwa na maambukizi…
MUONEKANO wa Ukurasa wa nyuma Gazeti la CHAMPIONI Ijumaa
KOCHA Mkuu wa Yanga, Luc Eymael,amesema kuwa alikuwa ana mpango wa kuja Bongo miaka minne iliyopita lakini mambo hayakuwa kama alivyotarajia akabaki Afrika Kusini. Kwa sasa…
MIRAJ Athuman ‘Sheva’ anatarajiwa kuanza mazoezi ya kunyonga baiskeli kwa ajili ya kujiweka sawa kabla ya kurudi rasmi uwanjani akitokea kwenye majeraha. Sheva ameweka wazi kwamba…
SAMUEL Umtiti, beki wa kati wa Barcelona yupo kwenye hesabu za kusajiliwa na klabu ya Manchester United.Nyota huyo anatarajiwa kusajiliwa ndani ya United kwenye usajili…
UONGOZI wa Mbao FC umesema kuwa kinachoikwamisha timu hiyo kuwa na matokeo mazuri ni ukata unaoimaliza timu hiyo yenye maskani yake Mwanza.Mbao FC imecheza mechi…
DANIELE Rugani, beki wa Juventus amesema kuwa hakuwa na dalili zozote za Virusi vya Corona licha ya vipimo kuonyesha kuwa ana Virusi hivyo.Beki huyo wa…
UONGOZI wa Mtibwa Sugar umesema kuwa umeachana na suala la kufikiria gharama walizotumia kujiaandaa kwa ajili ya mchezo wao dhidi ya Coastal Union na badala…