NYOTA CHELSEA AGOMEA DILI LA KUTUA JUVE KISA KUHOFIA KUSHUKA KIWANGO
JUVENTUS imepanga kumshusha kikosini winga wa Chelsea Willian Borges da Silva, lakini nyota huyo wa Brazil amegomea dili hiloInaelezwa kuwa nyota huyo hataki kujiunga na…
JUVENTUS imepanga kumshusha kikosini winga wa Chelsea Willian Borges da Silva, lakini nyota huyo wa Brazil amegomea dili hiloInaelezwa kuwa nyota huyo hataki kujiunga na…
MSIMAMO wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa sasa upo namna hii baada ya mechi za jana kuchezwa
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la SPOTIXTRA Alhamis upo namna hii
SIMBA leo imemalizana na Azam FC kwa ushindi wa mabao 3-2 kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Taifa.Azam FC iliyo chini ya…
KIUNGO wa zamani wa timu ya Chelsea, Cesc Fabregas amesifu uwezo wa kiungo chipukizi wa timu ya Chelsea Billy Gilmour kwa kusema kuwa akiongeza juhudi…
Azam FC 1- 0 SimbaUwanja wa TaifaKipindi cha kwanzaDakika ya 4 Nevere tegere anamtungua Aish Manula kwa guu la kuliaAZAM FC leo imeikaribisha Simba kwenye…
KIKOSI cha AZAM FC kitakachoanza leo Machi 4 dhidi ya Simba Uwanja wa Taifa
UWANJA wa Taifa majira ya saa 1:00 usiku leo kutakuwa na kazi ya vigogo wa Lgi Kuu Bara kumenyana kuzisaka pointi tatu muhimu. Azam FC…
Mechi ya Ligi Kuu Bara leo Kati ya Lipuli na Ndanda FC imeahirishwa kutokana na mvua kubwa kunyesha mkoani Iringa hali iliyosababishwa sehemu ya kuchezea…
KIKOSI cha Simba kitakachoanza leo dhidi ya Azam FC Uwanja wa Taifa, majira ya saa 1:00 usiku