SADIO MANE NI BALAA TUPU NDANI YA LIGI KUU ENGLAND
SADIO Mane, nyota wa timu ya Liverpool amefikisha jumla ya mabao 100 ndani ya Ligi Kuu ya England.Mane alifikisha bao hilo kwenye mechi dhidi ya…
SADIO Mane, nyota wa timu ya Liverpool amefikisha jumla ya mabao 100 ndani ya Ligi Kuu ya England.Mane alifikisha bao hilo kwenye mechi dhidi ya…
ASTON Villa imekubali kichapo cha mabao 3-2 mbele ya Tottenham, kwenye mchezo wa Ligi Kuu England uliochezwa leo kwa kufungwa bao la usiku katika dakika…
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba leo wamerejea kutoka Iringa ambako walikuwa na mchezo wa ligi na Lipuli, Jana Samora.Simba ilishinda mchezo huo…
BAADA ya kulazimisha sare ya bila kufungana na Tanzania Prisons jana, Februari 15 Uwanja wa Taifa Yanga imeiwahi Polisi Tanzania ya Moshi kwa ajili ya…
KOCHA Msaidizi wa Azam FC, Idd Cheche amesema kuwa bado wanapambana kwa ajili ya mechi zinazofuata kwenye ligi ili kuongeza kasi yao baada ya kufungwa…
LICHA ya kwamba Simba inaongoza ligi hivi sasa, lakini beki kisiki wa timu hiyo, Pascal Wawa, amesema ishu ya kuanza kuwaza ubingwa bado sana kutokana…
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa, mechi nne zijazo ambazo ni sawa na dakika 360, watazitumia kwa ajili ya maandalizi ya kuiangamiza Simba…
Leo Jumapili, mshambuliaji wa Aston Villa, Mbwana Samatta, anatarajiwa kusimama mbele kuwaongoza wenzake kumtibulia Kocha Jose Mourinho na timu yake ya Tottenham Hotspur. Aston Villa…
UONGOZI wa Yanga, umemtaka Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi (TPLB), Almas Kasongo kuanza kuiweka sawa ratiba ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo wanadai bado…