HUYU NDIYE MWILI JUMBA ALIYESHUSHWA NA YANGA KUCHUKUA NAFASI YA MAKAMBO
USIKU wa kuamkia leo klabu ya Yanga imeshusha mashine mpya kwa ajili ya kukamilisha usajili wake wa mwisho kabla ya dirisha la usajili halijafungwa leo.Mchezaji…
USIKU wa kuamkia leo klabu ya Yanga imeshusha mashine mpya kwa ajili ya kukamilisha usajili wake wa mwisho kabla ya dirisha la usajili halijafungwa leo.Mchezaji…
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la CHAMPIONI Jumatano
MUONEKANO wa Ukurasa wa nyuma Gazeti la CHAMPIONI Jumatano
ETTIENE Ndayiragije Kaimu Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ amesema kuwa sare waliyoipata sio mbaya wanakwenda kupindua meza nchini Kenya.Stras ililazimisha…
MWINYI Zahera, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa ameona namna wachezaji wake wanavyocheza na kujituma hivyo ana imani msimu ujao watakuwa juu zaidi ya msimu…
SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limechagua waamuzi kutoka nchini Sudan kuchezesha nchezo wa raundi ya awali ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Azam FC…
ELLY Mzozo, Kocha Mkuu wa kikosi cha Friends Ranger ya Morogoro amesema kuwa wachezaji wa Yanga wana ukomavu mkubwa na msimu ujao wataleta ushindani.Friends Ranger…
KIKOSI cha Azam FC kimeendelea na maandalizi ya kukata na shoka kwa ajili ya michuano ya kimataifa pamoja na Ligi Kuu Bara.Azam FC ambao ni…
ABDI Banda beki wa timu ya Taifa ya Tanzania anayekipiga soka la kulipwa Baroka FC ya Afrika Kusini amewaaga mashabiki wake na timu.Kupitia kwenye ukurasa…
BALAA la Zahera ndani ya Yanga na ishu ya Emmanuel Okwi ndani ya Simba habari kamili ni kesho ndani ya CHAMPIONI Jumatano.