Home Authors Posts by Staff Desk

Staff Desk

901 POSTS 0 COMMENTS

YANGA WAJA NA JAMBO HILI JIPYA KWENYE MARUDIANO NA AL MAREKH

0
Afisa Habari wa Yanga SC, Ally Kamwe amesema mchezo wao wa marejeano dhidi ya Al Merekh ya Sudan siku ya Jumamosi Septemba 30, 2023,...

MAYELE HALI IMEBADILIKA PYRAMIDS

0
Straika wa zamani wa Yanga Fiston Mayele ameendelea kuwa na mwanzo mbaya Pyramids baada ya kucheza mechi mbili za ligi bila kufunga wala kupiga...

HALI YA KRAMO IKO HIVI SIO WIKI MBILI TENA

0
TAARIFA njema kwa mashabiki wa Simba kuwa winga wao Muivory Coast, Aubin Kramo amepata nafuu ya majeraha yake na atarejea uwanjani baada ya wiki...

HIZI SALAMU ZA SIMBA KWA WAZIMBIA SASA NI KUTISHANA HUKU

0
Leo Septemba 26 Timu ya Simba imecheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Pan African na kuibuka na ushindi wa magoli 4-0. Simba wako katika maandalizi...

TRY AGAIN AWEKA WAZI KATI YA KUCHEZA VIZURI AU USHINDI

0
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya klabu ya Simba Salim Abdallah "Try Again" amesema kwasasa wanachotaka ni kuona timu inapata ushindi na sio kucheza...

GENK BADO WANAKUMBUKA MAAJABU HAYA YA SAMATA

0
Nahodha wa timu ya Taifa Tanzania ‘Taifa Stars’ Mbwana Samatta ameendelea kuenziwa na klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji kwa jezi yake maalum kuuzwa...

MASTAA HAWA WA SOKA BONGO KAMA ULAYA

0
Mara nyingi wakati wa mapumziko tumezoea kuona wachezaji wanao cheza soka la kulipwa ulaya wakati wa mapumziko wakioneka katika viwanja vikubwa kufatilia mchezo wa...

BODI YA LIGI YAFUNGUKA ISHU NYA LIGI KUU KUSIMAMA ISHU IKO...

0
Bodi ya Ligi ya Tanzania (TPLB), imesema kuwa sababu ya kusimama kwa Ligi Kuu ya Tanzania ni kutokana na kalenda ya Shirikisho la Soka...

KUMBE KONKANI KWA GAMONDI BADO SANA, ISHU IKO HIVI

0
Unaambiwa ndani ya kikosi cha Yanga, Kocha Mkuu wa Timu hiyo, Miguel Gamondi bado hajamwelewa straika wake mpya raia wa Congo DR, Hafiz Wontah...

YANGA WAFUNGUKA KUHUSU SKUDU, NI JAMBO LA MUDA TU

0
Yanga SC wamesema Mahlatse Makudubela Manoka 'Skudu' yupo na muda ukifika wa kucheza basi Wanayanga watamuona uwanjani akiitumikia klabu yake. Akizungumza na Wasafi FM, Afisa...