YANGA WANATAKA KUPITA NA UPEPO WA MAPINDUZI CUP WAJA NA MWAMBA HUYU HAPA
Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Young Africans wameingia kambini leo Jumanne (Desemba 27) kuanza kujiwinda na mchezo wa kwanza wa Kombe la Mapinduzi dhidi ya…
Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Young Africans wameingia kambini leo Jumanne (Desemba 27) kuanza kujiwinda na mchezo wa kwanza wa Kombe la Mapinduzi dhidi ya…
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
Singida Fountain Gate, iko mbioni kukamilisha usajili wa aliyekuwa winga wa Simba, Peter Banda, huku kocha mkuu wa kikosi hicho Mbrazili Ricardo Ferreira akiachiwa maamuzi…
Yanga inaendelea na hesabu za usajili kimyakimya ikitaka kuboresha kikosi kabla ya kurejea katika michuano mapema mwakani ikiwamo Ligi ya Mabingwa na Ligi Kuu na…
Hakuna kitu kibaya kama kutoaminika kwenye maisha. Simba na Clatous Chama wamekuwa na ndoa ya muda mrefu, lakini hakuna anayemuamini mwenzake. Ni kweli Chama bado…
Kocha Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha anapeleka kikosi katika michuano ya Kombe la Mapinduzi 2024, inayotarajiwa kuanza kesho 28, huku kichwani akiwa na mambo mawili,…
Klabu ya Simba SC imeweka wazi kuwa, timu yao itajipanga vyema kuvuna alama za kutosha katika Ligi ya Mabingwa Barani Afrika msimu huu 2023/24, ili…
Feisal Salum ‘Fei Toto’ ameendelea pale pale alipoishia. Si ajabu amezidi kuwa wa moto zaidi akiwa na jezi ya Azam FC. Kama alivyomtungua Aishi Manula…
Baada ya kukiangalia kikosi cha timu yake, Kocha Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha, ni kama ametoa angalizo kwa viongozi wa klabu hiyo kuwa makini wanapoenda…
Yanga imeanza maandalizi ya michuano ya Kombe la Mapinduzi 2024 inayoanza Alhamisi, huku safu yake ya ushambuliaji ikizalisha mabao mengi ikiongozwa na Stephane Aziz KI…