Staff Desk
PACOME,MUDA WAWEKA REKODI
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
KUHUSU MCHEZAJI BORA WA MWEZI YANGA MCHAKATO UKO HIVI
Klabu ya Yanga leo imesaini mkataba na Shirika la Bima la Taifa ‘National Insurance Cooperation’ kuwa mdhamini wa Mchezaji Bora wa Mwezi (NIC Player...
KABLA YA KIMATAIFA GAMONDI AWATAKA AZAM KWANZA
Kocha Mkuu wa Young Africans, Miguel Angel Gamondi, amesema hataki kuongea lolote kuhusu mechi za hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa BArani Afrika,...
ROBERTINHO ATAMBA AWAPA NENO HILI MASHABIKI
Kocha Mkuu wa Simba, Roberto Oliviera 'Robertinho' amesema kuwa timu yake ina kikosi kipana hivyo imemsaidia yeye kufanya mabadiliko na kupata ushindi pale anapotaka.
Robertinho...
HUYU HAPA MRITHI WA KONKANI YANGA
Taarifa kutoka ndani ya Klabu Yanga zinaeleza kuwa, timu hiyo inahusishwa kumnyemelea mshambuliaji wa Gor Mahia, Benson Omalla Ochieng katika usajili wa dirisha dogo...
SIMBA, YANGA MSIBWETEKE KIMATAIFA
Baada ya makundi kupangwa kwa sasa ni muda wa kuanza kufanya maandalizi kwa ajili ya kupata matokeo chanya kwenye mechi za ushindani.
Katika Ligi ya...
YANGA WALAMBA SHAVU KUTOKA SHIRIKA LA BIMA LA NIC
Mabingwa watetezi wa Ligi kuu Kandanda Tanzania Bara klabu ya Yanga imeingia mkataba na shirikia la bima la NIC na sehemu ya makubaliano ya...
KOCHA IHEFU AFUNGUKA KILICHOWAPONZA
Kipigo cha bao 1-0 ilichopewa Ihefu kutoka kwa KMC ikiwa ni siku chache tu tangu iizime Yanga, kimemfanya kocha mkuu wa timu hiyo ya...
ROBERTINHO AWATETEA MASTAA SIMBA KISA USHINDI HUU
Kocha Mkuu wa Simba SC, Roberto Oliviera 'Robertinho' amewatetea wachezaji wake kwa kushinda mchezo dhidi ya Singida FG wakiwa na uchovu wa safari na...
MAKUNDI CAF….. NI KISASI TUPU
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo