MINZIRO MASHAKANI, SIMBA WAHUSISHWA ISHU IKO HIVI
Kupoteza mechi mbili mfululizo za Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu, imeelezwa kumewaamsha viongozi wa Tanzania Prisons wakianza kukosa imani na kocha mkuu wa kikosi…
Kupoteza mechi mbili mfululizo za Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu, imeelezwa kumewaamsha viongozi wa Tanzania Prisons wakianza kukosa imani na kocha mkuu wa kikosi…
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
Kiungo wa zamani wa Yanga, Abdulaziz Makame ‘Bui’, baada ya kukosa timu ya kuichezea anapigia mahesabu usajili wa dirisha dogo, huku akieleza anavyotakiwa kujitoa…
Kiungo Mshambuliaji wa Azam FC Feisal Salum ‘Fei Toto’ amesema anainjoi kuichezea timu hiyo, lakini akikiri kuna ushindani zaidi kwa msimu huu kwenye Ligi Kuu…
Kikosi cha Young Africans kimerudi uwanjani kujifua baada ya kutoka kucheza mchezo mgumu wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo iliyoamua kucheza nusu uwanja ili…
Mchambuzi wa masuala ya soka nchini kupitia East Africa Radio, Abissay Stephen amesema kuwa Klabu ya Soka ya Simba Sc ina mtu mmoja tu ambaye…
Timu yoyote itakayocheza na Yanga kisha kuona kiungo Mudathir Yahya akianzia benchi, kisha akaingizwa kwa mabadiliko, basi lazima ijipange kwani huyo jamaa ana balaa na…
Mlinda Mlango wa Klabu ya Soka ya Simba, Aish Salum Manula ameonekana kuimarika zaidi baada ya kuwa nje ya Uwanja kwa Muda Mrefu kutokana na…
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
Mchambuzi maarufu wa masuala ya soka kutoka EATC na EA Radio, Ibra Kasuga amesema kuwa Klabu ya Yanga ndiyo inaongoza kwa kuwaposti mashabiki zake kwenye…