NYOTA LYON AMTUMIA UJUMBE BEKI KISIKI WA LIVERPOOL

0

NYOTA wa Klabu ya Lyon,  Memphis Depay amemtumia ujumbe beki kisiki wa Liverpool ambaye kwa sasa anatibu majeraha yake aliyoyapata kwenye mchezo  wa Ligi Kuu England dhidi  Everton wakati wakilazimisha sare ya kufungana mabao 2-2.Beki huyo anatarajiwa kuwa nje kwa muda wa msimu mzima akitibu jeraha lake la goti huku Liverpool ambao ni mabingwa watetezi wakiwa na hesabu za kumpata...

USHINDI WA REAL MADRID WAAMSHA SHANGWE BONGO NA M-Bet

0

 USHINDI wa mabao 3-1 wa Real Madrid dhidi ya mahasimu wao, Barcelona ulinogesha chemsha bongo ya kampuni ya michezo ya kubahatisha ya M-Bet Tanzania na mashabiki wa soka kujishindia zawadi mbalimbali.Tukio hilo lilifanyika kwenye baa ya Tips ya Mikocheni ambapo mbalimbali ya mashabiki kuzawadiwa zawadi mbalimbali zikiwemo jezi orijino za timu hizo mbili, pia waliweza kupiga picha na kombe ‘replica’...

SIMBA KAZI IPO LEO MBELE YA RUVU SHOOTING, TAMBO ZATAWALA

0

 MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara Simba, leo wana kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya Ruvu Shooting ambayo nayo ni timu ya wajeda kama ilivyokuwa kwa Tanzania Prisons ambao waliwachezesha ligwaride kwa kuwafunga bao 1-0 Uwanja wa Nelson Mandela.Kazi kubwa kwa Simba inayonolewa na Sven Vandenbroeck ni kwenye kusaka rekodi ya kuendeleza ubabe wao mbele ya Ruvu Shooting...

KUNDI B FDL NOMA SANA, LAKUSANYA KADI 20

0

 VITA ya kupanda Ligi Kuu Bara ikiwa imeanza kwa timu zinazoshiriki Ligi Daraja la Kwanza, raundi ya kwanza imeweka rekodi kwa kukusanya jumla ya kadi 27 za njano kwa wachezaji huku moja ikiwa ni nyekundu.Kwenye makundi mawili yaLigi Daraja la Kwanza ambayo ni A na B yakiwa na jumla ya timu 20 na kila kundi lina timu 10, kundi...

SIMBA YAZIPIGIA HESABU POINTI TATU ZA RUVU SHOOTING

0

 SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba leo ana kibarua cha kumenyana na Ruvu Shooting kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaopigwa Uwanja wa Uhuru saa 10:00 jioni.Sven ambaye inaelezwa kuwa anavuta dola 9,000 ambazo ni sawa na Sh 20.7Mil kwa mwezi ataingia uwanjani akiwa na kumbukumbu ya kupoteza kwa kufungwa bao 1-0 na Tanzania Prisons.Ruvu Shooting imetoka kulazimisha sare...

AZAM FC KUWAKOSA NYOTA WAWILI LEO WAKIIVAA MTIBWA SUGAR

0

LEO Azam FC inashuka Uwanja wa Jamhuri, Morogoro kumenyana na Mtibwa Sugar kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa.Azam FC ikiwa imecheza mechi saba imefikisha pointi 21 kibindoni inakutana na Mtibwa Sugar ambayo imecheza mechi saba na pointi zake nane.Kwenye mchezo wa leo Azam FC itawakosa nyota wake wawili ambao wamehusika kwenye mabao saba kati...

KAZE: KAZI BADO IPO, WACHEZAJI WANA UWEZO MKUBWA

0

 CEDRIC Kaze, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa anafurahishwa na uwezo wa nyota wake wote ndani ya kikosi hicho jambo ambalo anaamini litakuwa nguzo kubwa kufikia malengo.Jana Oktoba 25, Kaze alikiongoza kikosi chake kwenye mchezo wa pili mbele ya KMC Uwanja wa CCM Kirumba na kuibuka na ushindi wa mabao 2-1.Nyota wa mchezo wa jana alikuwa ni Wazir Junior...

RATIBA YA LIGI KUU BARA LEO INAKWENDA NAMNA HII, SIMBA, AZAM FC KAZINI

0

 LEO Jumatatu, Ligi Kuu Bara inaendelea kwa timu tatu kusaka pointi tatu ndani ya uwanja namna hii:-Mtibwa Sugar yenye pointi zake nane baada ya kucheza mechi saba inakutana na Azam FC yenye pointi zake 21 baada ya kucheza mechi saba, Uwanja wa Jamhuri, Moro.Dodoma Jiji yenye pointi 12 inakutana na Tanzania Prisons yenye pointi tisa.Uwanja wa Jamhuri, Dodoma.Simba ikiwa...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATATU

0

 MUONEKANO wa ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Jumatatu

SIMBA YAWAITA MASHABIKI,KICHAPO MBELE YA PRISONS CHAWAPA HASIRA

0

UONGOZI wa Simba umesema kuwa kesho utapambana kusaka pointi tatu kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ruvu Shooting utakaochezwa Uwanja wa Uhuru.Mchezo huo ni wa saba kwa Simba ambao ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara ambao wapo nafasi ya nne kwenye msimamo na pointi zao kibindoni ni 13.Inashuka uwanjani ikiwa na hasira za kuchezeshwa ligwaride...