RUVU SHOOTING:TUNAPIGA MPIRA MWINGI KAMA BARCELONA VILE

0

 MASAU Bwire, Ofisa Habari wa Ruvu Shooting amesema kuwa kikosi chao kinapiga mpira mwingi ndani ya uwanja jambo ambalo linawapa matokeo mazuri.Ruvu Shooting imekuwa kwenye ubora wake ndani ya ligi kwenye mechi zake za hivi karibuni ambapo iliweza kushinda mechi mbili mfululizo baada ya kuanza kuichezesha gwaride Simba kwa kuifunga bao 1-0 kisha iliendelea mwendo wake mbele ya Coastal...

YANGA YAIPIGA MKWARA SIMBA KUELEKEA DABI NOVEMBA 7, YAWAITA MASHABIKI

0

 UONGOZI wa Yanga umewataka mashabiki wake kujitokeza kwa wingi Uwanja wa Mkapa Novemba 7 kushuhudia namna watakavyotoa burudani kwa wapinzani wao Simba kwenye dabi ya Kariakoo.Yanga ambao ni vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara wakiwa na pointi 23 baada ya kucheza mechi 9 wanakutana na mabingwa watetezi Simba ambao wapo nafasi ya tatu na pointi zao ni 19.Mechi zao...

MWAKINYO KUTETEA UBINGWA WA WBF DHIDI YA MUARGENTINA

0

  BONDIA mzawa, Hassan Mwakinyo amebadili ratiba ya mazoezi na sasa anajifua masaa manne kwa siku ikiwa ni maandalizi ya pambano lake dhidi ya Muargentina Jose Carlso Paz.Mwakinyo ameweka kambi eneo la Magoroto, Muheza mkoani Tanga kuelekea pambano la kutetea ubingwa wa mabara wa  WBF na kuwania ubingwa mpya wa  mabara wa IBA wa uzito wa super-welter.Bondia huyo anajifua chini ya kocha,...

MKATA UMEME WA SIMBA NJE YA UWANJA MIEZI SITA, KUIKOSA DABI

0

 KIUNGO mkabaji wa Simba, raia wa Brazil Gerson Fraga maarufu kama mkata umeme kwa sasa atakuwa nje kwa msimu mzima kutokana na kuendelea kutibu majeraha ya goti ambayo aliyapata kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Biashara United, Uwanja wa Mkapa.Kwa sasa Simba ipo kwenye maandalizi ya dabi dhidi ya Yanga inayotarajiwa kuchezwa Novemba 7 baada ya ile...

ARSENAL YAMUWEKA KWENYE MPANGO ELNEY

0

ARSENAL ipo kwenye mpango wa kuongeza mkataba kiungo Mohamed Elney kwa ajili ya kuendelea kukitumikia kikosi hicho kwa msimu ujao.Kiungo huyo raia wa Misri ameonekana kuwa bora ndani ya Arsenal, jambo ambalo limemfanya Kocha Mkuu wa Arsenal, Mikel Arteta kuhitaji kupata huduma yake kwa msimu ujao na yupo kwenye mpango ndani ya kikosi hicho.Elney mwenye miaka 28 alikuwa kwenye...

MSIMAMO WA LIGI KUU BARA KWA SASA UPO NAMNA HII

0

 MSIMAMO wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo imekuwa na ushindani mkubwa kwa msimu wa 2020/21 huu hapa

AZAM FC KWENYE MTIHANI LEO KUISHUSHA YANGA KILELENI

0

 LEO Novemba 5 Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea kuchanja mbunga kwa timu sita kusaka pointi tatu uwanjani.Azam FC ambao wapo nafasi ya pili na pointi 22 wana kazi ya kupambania kombe ili kuona namna gani wanaweza kuwashusha Yanga nafasi ya kwanza wakiwa na pointi zao 23.Ikiwa leo Azam FC itashinda ama kupata sare mbele ya Dodoma Jiji, Uwanja wa...

PILATO WA DABI YA YANGA V SIMBA HUYU HAPA

0

IMEELEZWA kuwa mmoja kati ya waamuzi hawa wanne atakuwa ni mwamuzi wa kati kwenye mchezo wa dabi ya Kariakoo kati ya Yanga dhidi ya Simba utakaochezwa Novemba 7, Uwanja wa Mkapa.Bodi ya Ligi Tanzania kupitia kwa Mtendaji wake Mkuu, Almas Kasongo uliweka wazi kuwa kwenye mchezo huo jumla ya waamuzi ambao watatumika ni sita na kati ya hao wawili...

KAGERE HATIHATI KUIKOSA YANGA NOVEMBA 7, ISHU YA MUGALU IPO HIVI

0

  MSHAMBULIAJI namba moja wa Klabu ya Simba kunahatihati akaikosa Yanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Novemba 7 Uwanja wa Mkapa.Kagere ametupia jumla ya mabao manne ndani ya Ligi Kuu Bara akiwa nyuma ya kinara wa Azam FC ambaye ni Prince Dube mwenye mabao sita.Nyota huyo aliumia kwenye mchezo wa ligi dhidi ya JKT Tanzania wakati waliposhinda...

NYOTA YANGA AUKACHA MPIRA, AIBUKIA KWENYE MASUALA YA UKULIMA

0

 NYOTA wa zamani wa Klabu ya Yanga, Malimi Busungu ambaye aliwika sana na kikosi hicho mara baada ya kusajiliwa amesema kuwa kwa sasa anafanya shughuli za kilimo na ufugaji ili kuyatafuta mafanikio. Awali, Busungu alitua Yanga mnamo mwaka 2015 akitokea Mgambo JKT ambapo ni miongoni mwa nyota ambao usajili wao ulitikisa kufuatia kugombaniwa na vigogo wawili, Simba na Yanga ambapo...