AJAX YAPIGA MTU BAO 13-0

0

 KLABU ya Ajax imeibuka na ushindi wa mabao 13-0  kwenye mchezo wa Ligi ya Uholanzi maarufu kama Eredivise leo Oktoba 24 kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa De Koel dhidi ya Klabu ya VVV.Ajax ikiwa ugenini ilianza kupachika bao la kwanza dakika ya 12 kupitia kwa Jurgen Elkelenkamp aliyepachika mabao mawili na lingine alipachika dakika ya 57.Mwiba alikuwa ni Lassina...

YANGA YAIPIGIA MATIZI YA MWISHO KMC LEO

0

 KIKOSI cha Yanga leo Oktoba 24 kimefanya maandalizi ya mwisho kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa kesho Oktoba 25 dhidi ya KMC.Mchezo huo utachezwa kwenye Uwanja wa CCM Kirumba saa 10:00 jioni.Yanga imetua Mwanza leo na kupokelewa na mashabiki wake na imewakuta wenyeji wao KMC ambao waliwasili Mwanza Oktoba 22.Yanga inaingia uwanjani ikiwa na kumbukumbu...

BARCELONA YACHAPWA 3-1 NA REAL MADRID, ANSU ATUPIA

0

 ANSU Fanti kinda mwenye miaka 17 anayekipiga ndani ya Barcelona leo amepachika bao kwenye El Clasico kwenye mchezo wa La Liga wakati wakilala kwa kufungwa mabao 3-1 na Real Madrid. Ansu alipachika bao hilo dakika ya 8 akisawazisha bao lililopachikwa na Federico Valverde wa Real Madrid mwenye miaka 22 dakika ya 5 na bao la pili lilipachikwa na Sergio Ramos...

MBEYA CITY YASHINDA KWA MARA YA KWANZA VPL LEO

0

 TIMU ya Mbeya City leo Oktoba 24 imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Klabu ya Kagera Sugar kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Kaitaba.Huu ni mchezo wa kwanza kwa Mbeya City kusepa na pointi tatu kwa msimu wa 2020/21 ikiwa ugenini kwani hata ilipokuwa Uwanja wao wa nyumbani Sokoine mambo yalikwenda mrama.Mabao ya Mbeya...

AZAM FC YAZIPIGA MKWARA SIMBA NA YANGA

0

 AZAM FC imetamba kuendeleza dozi kwa timu kongwe za Simba na Yanga kwa kusema kila mechi wanayocheza kwao ni fainali na kudai kuwa siri ya mafanikio ya timu yao ni kutokana na mabadiliko waliyoyafanya msimu huu kuanzia mazoezi hadi usajili. Azam FC inaongoza msimamo wa ligi hadi sasa kwa kushinda michezo saba iliyocheza hivyo kufikisha pointi 21 huku ikizipiku timu...

YANGA WAPEWA ONYO MAPEMA KABISA BAADA YA KUSHINDA

0

 KOCHA wa Klabu ya KMC, Habibu Kondo, amewatahadharisha Yanga kutokwenda na matokeo kichwani katika mechi dhidi yao itakayochezwa Jumapili ya tarehe 25 /10/2020 jijini Mwanza.Yanga iliibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Polisi Tanzania kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Oktoba 22, Uwanja wa Uhuru.Kwa sasa kimeshatia kambi Mwanza kwa ajili ya mchezi wa ligi dhidi ya KMC utakaochezwa...

HIMID MAO KAZI INAENDELEA,KILA KITU KINAWEZEKANA

0

 HIMID Mao mzawa anayekipiga ndani ya Klabu ya ENPPI ya Misri amesema kuwa kwa namna soka la Tanzania linavyokuwa kwa kasi ni rahisi kwa wachezaji wengi wazawa kupata timu nje ya nchi.Himid ambaye pia aliitwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania kilichocheza mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya Taifa ya Burundi amesema kuwa anafurahi kuona ushindani...

ORODHA YA WACHEZAJI 22 WA AZAM FC WALIOANZA SAFARI KUIBUKIA MOROGORO

0

KIKOSI cha wachezaji 22 cha Azam FC kimeondoka Dar mchana wa leo kuelekea Morogoro ajili ya mchezo wa raundi ya 8 dhidi ya Mtibwa Sugar.Kikosi kamili ni kama ifuatavyo 1. Bennedict Haule2. David Mapigano3. Nicholas Wadada4. Abdul Hamahama5. Bruce Kangwa6. Agrey Moris7. Mudathir Yahya8. Richard Djodi9. Andrew Simchimba10. Never Tigere11. Frank Domayo12. Abdallah Sebo13. Ally Niyonzima14. Iddy Nado15. Daniel Amoah 16....

MTIBWA SUGAR: TUTAVUNJA MWIKO WA AZAM FC KUTOFUNGWA

0

 UONGOZI wa Mtibwa Sugar umesema kuwa utatibua rekodi ya Azam FC ya kucheza mechi saba bila kufungwa kwa kuwa wamejipanga kupata ushindi kwenye mchezo wao wa ligi utakaochewa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.Kwa sasa Azam FC ni vinara wa ligi wakiwa na pointi 21 baada ya kucheza mechi saba msimu wa 2020/21 na kimefunga jumla ya mabao 14.Kinara wa mabao...

BINGWA WA MPIRA WA KIKAPU TANZANIA KUPATIKANA KESHO

0

 LIGI ya Taifa ya Kikapu ya Tanzania (National Basketball League - NBL) iliyoanza Februari ngazi ya mikoa RBA na sasa iko ngazi ya Taifa (NBL).Ligi hiyo inafikia tamati kesho Jumapili 25 Octoba, leo Jumamosi kuna nusu fainali na kesho ni fainali.Fainali hiyo itachezwa Uwanja wa Don Bosco Upanga, Dar es Salaam na bingwa atapatikana. Bingwa wa Kikapu Tanzania ana jukumu...