DUBE WA AZAM APOKEA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA MWEZI SEPTEMBA

0

 Mshambuliaji mpya wa Azam FC anaetokea nchini Zimbabwe Prince Dube, akipokea tuzo yake ya Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) mwezi Septemba.Mbali na tuzo hiyo kutoka kwa wadhamini wakuu Vodacom Tanzania pia alikabidhiwa hundi yenye thamani ya Sh. Milioni Moja.

KOCHA SIMBA ATAJA MATATIZO MAWILI YANAYOKITESA KIKOSI HICHO

0

JAMHURI Khwelo aliyewahi kuwa kocha wa timu hiyo amesema kuwa kikosi cha Simba kina matatizo makubwa mawili ambayo yanakisumbua kwa sasa jambo ambalo linawafanya wapate matokeo mabovu ndani ya uwanja.Mabingwa hao watetezi wamekutana na vipigo viwili mfululizo na kuziacha alama sita zikisepa na upepo ndani ya Ligi Kuu Bara.Walipoteza mbele ya Tanzania Prisons kwa kufungwa bao 1-0 wakiwa ugenini...

BIASHARA UNITED V YANGA, NGOMA NI NZITO, CHEKI REKODI ZAO

0

 IKIWA imepanda Ligi Kuu Bara msimu wa 2018/19 Biashara United leo inakutana na Yanga mara ya tano uwanjani huku rekodi zikiwa ngumu kwa Yanga kupata ushindi Uwanja wa Karume. Mechi nne ambazo wamecheza, jumla mabao matano yamekusanywa ambapo Yanga imefunga mabao matatu na Biashara United imefunga mabao mawili.Yanga imeshinda mechi mbili na zote ilikuwa nyumbani, Uwanja wa Mkapa huku Biashara United...

RATIBA YA LIGI KUU BARA LEO OKTOBA 31

0

 LEO Oktoba 31 Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea kushika kasi ambapo mechi nne zitachezwa kwa timu nane kusaka pointi tatu ndani ya uwanja.Tanzania Prisons v Polisi Tanzania, Uwanja wa Nelson Mandela, saa 8:00 mchanaNamungo FC v Dodoma Jiji, Uwanja wa Majaliwa, saa 10:00 jioni.Biashara United v Yanga, Uwanja wa Karume, saa 10:00 jioni.Simba v Mwadui,saa 10:00 jioni, Uwanja wa...

MWADUI FC: TUPO TAYARI KUSAKA POINTI TATU ZA SIMBA

0

 KHALID Adam, Kocha Mkuu wa Mwadui FC amesema kuwa wapo tayari kwa mchezo wao wa kesho, Oktoba 31 dhidi ya Simba utakaochezwa Uwanja wa Uhuru.Akizungumza na Saleh Jembe, Adam amesema kuwa wanaitambua vema Simba kwa kuwa wamekutana nao mara nyingi uwanjani jambo ambalo linamfanya aamini kwamba watapambana kusaka ushindi."Tumetoka kupoteza mchezo wetu uliopita imetuumiza ila nimewaambia wachezaji kwamba wasiwe...

KOCHA MPYA SIMBA ANA LESENI YA UEFA, MWENYEWE AFUNGUKA

0

 TAARIFA zinasema kuwa, Klabu ya Simba, ipo kwenye mazungumzo na Kocha Abdul Idd Salim raia wa Kenya kwa ajili ya kuchukua nafasi ya Muharami Mohammed aliyeondolewa hivi karibuni kikosini hapo. Muharami ambaye alikuwa akiwanoa makipa wa Simba tangu Julai 2017, amesitishiwa ajira yake kwa kile kilichoelezwa kwamba ameshindwa kuwaongoza vema makipa wa timu hiyo, Aishi Manula, Beno Kakolanya na Ally...

DJOD: JKT TANZANIA WALIWAFUNGA MABAO 6 MWADUI, HAWATATUFUNGA

0

 RICHARD Djod, nyota wa Klabu ya Azam FC amesema kuwa hawana hofu kwenye mchezo wao wa leo Oktoba 30 dhidi ya JKT Tanzania utakaochezwa Uwanja wa Azam Complex.Azam FC ambao ni vinara wa Ligi Kuu Bara wakiwa na pointi 21 wanamenyana na JKT Tanzania yenye pointi 8 ikiwa nafasi ya 15 zote zimecheza mechi nane.Mchezo uliopita kwa Azam FC...

LEO VPL RAUNDI YA NANE INAENDELEA NAMNA HII

0

 LEO Oktoba 30 safari ya mzunguko wa tisa wa Ligi Kuu Bara unaendelea ndani ya Bongo ambapo mechi mbili zitachezwa kwa timu nne kusaka pointi tatu ndani ya uwanja.Gwambina  iliyo nafasi ya 12 na pointi 9 v KMC iliyo nafasi ya 8 na pointi 10, Uwanja wa Gwambina Complex, saa 10;00 jioni.Azam FC iliyo nafasi ya kwanza na pointi...

YANGA YAIFUATA BIASHARA UNITED

0

 KIKOSI cha Yanga leo Oktoba 30 kimeondoka Mwanza kwenda Musoma kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa kesho, Oktoba 31.Mchezo huo utachezwa Uwanja wa Karume, Mara utakuwa ni wa nane kwa Yanga huku ukiwa ni wa tisa kwa Biashara United.Timu zote mbili zipo ndani ya tano bora jambo linalomaanisha kwamba zote kwa msimu wa 2020/21 zipo...

KUWAONA MASTAA WA SIMBA V MWADUI BUKU TANO TU

0

 KESHO Oktoba 31, Simba itakuwa na kazi ya kumenyana na Klabu ya Mwadui FC kwenye mchezo wa Ligi huku viingilio ikiwa ni buku 5,(5,000). Mchezo huo utachezwa Uwanja wa Uhuru saa 10:00 jioni na unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa timu zote mbili kutokana na matokeo ya timu hizo mbili.Mwadui FC imetoka kupoteza kwa kufungwa mabao 6-1 dhidi ya JKT...