STENDI YA AFRICANA MBEZI YAFANYIWA USAFI NA MERIDIANBET…
Anna Lukindo, ofisi yake pamoja na wananchi wa eneo hilo huku lengo likiwa ni kuhakikisha Stendi hiyo inakuwa katika mazingira safi. Meneja Mahusiano wa Meridianbet Nancy Ingram alieleza: "Hatutaki tu kuja kufanya usafi, tunataka kubadilisha fikra. Tumeamua kuanza na vijana kwa sababu wao ndiyo taifa la leo. Tukiwafikia mapema, tunalinda kesho ya miji yetu." Zoezi hili limehusisha usafishaji wa mazingira ya...
FUNGUA MILANGO YA BAHATI KWENYE GATES OF OLYMPIA – SLOTI MPYA YA KISASA KUTOKA MERIDIANBET.
Katika safari ya kuleta michezo ya kuburudisha na yenye malipo makubwa, Meridianbet kwa mara nyingine tena imezindua sloti mpya ya kipekee – Gates of Olympia, mchezo unaokupa nafasi ya kuchuma utajiri kutoka kwa miungu ya Olympia! Sloti hii ya ajabu imebuniwa kwa mandhari ya Kigiriki ya kale ambapo miungu hutoa zawadi kwa wachezaji walio tayari kuthubutu. Ukiwa na muundo wa...
ODDS ZA USHINDI KWENYE EUROPA LEAGUE LEO HII HIZI HAPA….SANUKA WEWE…
Ni siku nyingine kabisa ya Alhamisi ambapo leo hii tutaenda kushuhudia Nusu Fainali za pili za Europa League na Conference huku Meridianbet wakiweka odds za kibabe kwenye mechi hizo. Tukianza na Europa League ambapo Manchester United baada ya kushinda mechi yake iliyopita dhidi ya Athletic Bilbao, leo hii atakuwa na kibarua cha kulinda mtaji wake wa magoli matatu dhidi ya...
KUELEKEA MECHI YA FAINAL YA CAF….HII HAPA AHADI YA ‘KISHUA’ YA RAIS SAMIA KWA SIMBA…
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameongeza zawadi ya fedha kwa klabu ya Simba SC kupitia mpango wa "Goli la Mama", sasa wachezaji watapokea Shilingi milioni 30 kwa kila bao watakalofunga katika mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Awali, Rais Samia alikuwa ameahidi Shilingi milioni 20 kwa kila goli katika mechi za nusu fainali....
MNYAMA KUZITAKA POINT TATU…PAMBA HALITETE KUSALIA LIGI KUU…
Kocha mkuu wa pamba jiji asema ya kwamba hawapo nafasi nzuri, suala la kushuka daraja halipo maana bado tuna mechi nne mkononi tuta hakikisha pamba inabaki ligi kuu ya nbc.Tuna waheshimu simba na tunaamini mchezo utakuwa mzuri. Huku kocha msaidizi wa simba amesema.Wanakutana na mechi ngumu zaidi kwani pamba wanapambana wasishuke daraja. Wachezaji wa simba wapo tayari kupambana akimalizia kusema...
UNATAKA PESA YA CHAP….HII HAPA KASINO MPYA YA KIJANJA NDANI YA MERIDIANBET….
Kupitia Meridianbet utakutana na mchezo wa kasino ya mtandaoni unaoelezea kisa cha Farao aliyelaaniwa kwa matendo yake, unachopaswa kufanya ni kuwa mkali kwa kucheza vizuri ni njia sahihi kukupa ushindi mkubwa. Jisajili Meridianbet ufurahie mchezo huu. The Cursed King ni mchezo wa kasino ya mtandaoni yenye nguzo tano zna mistari 19 ya malipo. Ili kupata ushindi, unahitaji kuunganisha alama tatu...
CHUKUA SAFARI YA BAHARINI NA PROMOSHENI YA “WILD WHITE WHALE” KUTOKA MERIDIANBET..
Meridianbet, kwa kushirikiana na Expanse Studios, inakukaribisha kuingia katika ulimwengu wa ajabu wa baharini kupitia mchezo mpya wa sloti uitwao Wild White Whale. Kupitia promosheni hii ya kusisimua, cheza mizunguko 100 leo na upate mizunguko 50 ya bure kesho! Wild White Whale ni mchezo uliojaa mandhari maridadi ya baharini, michezo ya kuvutia, na fursa za ushindi mkubwa zitakazokufanya usisahau safari...
FEI TOTO KUREJEA JANGWANI…YANGA TUMBO JOTO…MASTAA MATATANI
Yao kouassi, maarufu kama jeshi alianza kupona lakini inaelezwa amepata majanga mengine eneo alioumia linaweza kukaa njee kwa muda zaidi. Yanga ina subiri repoti ya madaktari wa klabu ilikufahamu mchezaji huyo atakua nje kwa muda gani, lakini nyuma yake kuna hesabu mpya zina pigwa juu ya beki mmoja wakazi kutoka Tp mazembe DRCongo. Endapo yao atashindwa kurudi licha ya kuonekana amacheza mpira...
MWAMBA HUYU HAPA….JAMAA KATUSUA MIL 57 KILAINIII NDANI YA MERIDIANBET…
Furaha ilitawala kwa upande wa kijana mjasiriamali kutoka Tabata Shule baada ya kupokea simu kutoka Meridianbet kuwa ameweza kujishindia Milioni 57,099, 383 baada ya kubashiri mkeka wake wa timu 13 kwa dau la shilingi elfu 30 tuu. Milionea huyu aliamua kuchagua chaguo la MULTIGOALS ambapo hili unalipata ndani ya Meridianbet, na kama inavyojulikana kampuni hii ndiyo bingwa wa machaguo mengi...
20 IMPERIAL CROWN DELUXE KASINO MTANDAONI MPYA!!!….
Mbele yenu ni mchezo mzuri wa kasino mtandaoni ambapo alama za matunda zitatawala. Lakini matunda sio pekee yatakayokukumbusha. Mashine hii ya matunda itakuletea machache mazuri ya kushangaza. Njoo ujifurahishe kupitia mchezo huu huku ukipata beti za bure ukicheza moja kati ya michezo ya kasino mtandaoni ya Meridianbet inayopendwa zaidi. 20 Imperial Crown Deluxe ni kasino mtandaoni inayotolewa na Green Tube...