PAMOJA NA BARBARA KUTIMKA SIMBA….HAYA HAPA MAMBO MAZITO ALIYOYAFANYA KWA MIAKA MIWILI TU…..

0
Habari za Michezo

Septemba 5, 2020 Bodi ya Wakurugenzi ya Simba ilimteua Barbara Gonzalez kuwa CEO mpya wa klabu hiyo akichukua nafasi iliyoachwa wazi na Senzo Mazingiza Mbatta ambaye alitimkia Yanga. Kuteuliwa kwake kulileta maneno miongoni mwa wadau wa soka wakihoji uwezo wake hasa kwenye masuala ya soka na ukaribu wake kikazi na mwekezaji Mo Dewji. Taarifa ya Simba kuhusu uteuzi wake ikazima...

TETESI: BAADA YA KULAMBA SHAVU POLISI TZ….ZAHERA AMKUMBUKA MAKAMBO……

0
Staa wa Yanga SC Makambo atakiwa na Coastal Union

Kikosi cha Polisi Tanzania kimekuwa na msimu mbaya hadi sasa kikiburuza mkia katika msimamo wa Ligi Kuu, kikikusanya pointi tisa tu katika mechi 15, lakini mabosi wa klabu hiyo hawajalala kwani wamempa timu Mwinyi Zahera na kocha huyo fasta amemchomoa straika mmoja kutoka Yanga. Zahera aliyewahi kuinoa Yanga, ametua Polisi kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Joslin Bipfubusa aliyetemwa hivi karibuni...

KUELEKEA UCHAGUZI MKUU SIMBA….VIGOGO WASUSIA NAFASI YA UENYEKITI….

0

Kamati ya Uchaguzi wa Simba ilifungua mlango kwa wagombea kuchukua fomu kuwania nafasi mbalimbali tangu Desemba 5, mwaka huu lakini hadi jana Jumamosi hakuna mgombea aliyejitokeza kuchukua ya uenyekiti. Nafasi ya mwenyekiti ambayo inawaniwa ipo chini ya Murtaza Magungu ambaye alichaguliwa kwenye uchaguzi mdogo baada ya aliyekuwa mwenyekiti wa klabu hiyo, Swedy Mkwabi kujiuzuru. Ni wajumbe wanne pekee wamechukua fomu hizo...

TETESI: KISA MKWANJA ANAOKUNJA AL AHLY….SIMBA WAAMUA KUMPOTEZEA MAZIMA LUIS…

0
Tetesi za Usajili Simba

Yule kijana mwenye mbio, Luis Miquissone yuko mtaani kwao Maputo. Ni hapo Msumbiji. Simba wamethibitisha itashindikana kumrudisha Msimbazi wakati huu wa usajili. Viongozi wamekiri kutambua shauku ya mashabiki lakini baada ya kufanya naye mazungumzo wamekubaliana wamuache tu aendelee na ishu zake maana mshahara wake ni zaidi Sh120 milioni. Mmoja wa viongozi wa usajili wa Simba amesema kuwa wanamtaka mchezaji huyo, lakini...

KUMEKUCHAA….SAIDO APEWA MASHARTI SIMBA….ZAHERA AMCHOMOA MTU YANGA…

0

Pitia ukurasa wa mbele wa gazeti la MwanaSpoti la leo Jumapili.

GSM AMALIZANA NA BOBOSI KIMYA KIMYA…MKATABA WASAINIWA DUBAI…MAMBO MAWILI YAMNG’OA BARBARA SIMBA..

0

Pitia Ukurasa wa Mbele wa gazeti la Spoti Xtra la leo Jumapili.

MAPYA YA UIBUKA KUJIUZULU KWA BARBARA…MO DEWJI YUPO NJIANI KUMFUATA..

0

Pitia ukurasa wa mbele wa gazeti la Spoti Raha la leo Jumapili.

BREAKING NEWS:…BARBARA AJIUZULU SIMBA…AWAACHIA MSALA HUU WAJUMBE WA BODI…

0

Afisa Mtendaji Mkuu wa Simba SC, mwanamama Barbara Gonzalez ameandika barua ya kujiuzulu wadhifa wake ndani ya klabu hiyo. Barbara ameandika barua ya kujiuzulu akibainisha sababu kuu mbili, ambapo amedai anatoa nafasi kwa Bodi mpya ya Wakurugenzi kuchagua Mtendaji Mkuu mpya atakwenda sambamba na malengo yao, pili anajipa muda wa kutimiza ndoto nyingine. Soma kwa kirefu barua ya Barbara hapa chini;

BAADA YA KUSIKIA NAMUNGO WANAMTAKA…SIMBA WAMPANDISHA DARAJA MATOLA…

0
Habari za Simba Leo

Mabosi wa Simba wajanja sana, kwani baada ya kusikia kocha msaidizi aliyekuwa masomoni, Seleman Matola anatakiwa na klabu moja ya Ligi Kuu Bara, fasta wakaamua kufanya mambo kwa kumpandisha cheo ili aendelee kusalia klabuni, huku mwenyewe akifunguka kila kitu juu ya ishu hiyo. Matola amerejea hivi karibuni kutoka kwenye kozi ya ukocha wa Leseni A ya Shirikisho la Soka Afrika...

SIKU KADHAA BAADA YA KUTEMANA NA GEITA…MPOLE AVUNJA UKIMYA..AFUNGUKA MENGI YA NYUMA YA PAZIA…

0

Siku chache baada ya kuvunja mkataba na Klabu ya Geita Gold, kinara wa mabao wa Ligi Kuu Bara msimu uliopita, George Mpole amefichua kilichomfanya afikie uamuzi wa kuondoka kwenye timu hiyo, aliyoifungia mabao mawili hadi sasa katika ligi ya msimu huu. Akizungumza Mpole aliyefunga mabao 17 msimu uliopita na kumpiku Fiston Mayele wa Yanga aliyemaliza na mabao 16, alisema amefikia...