Home Blog Page 6
ELLIE Mpanzu amewafunga mdomo wale wote waliokuwa wakimpopoa wakati alipoanza kuitumikia Simba iliyomsajili kupitia dirisha dogo, huku mabao aliyoanza kuyafunga akiwa na kikosi hicho yameanza kulipa kwa kocha binafsi wa mazoezi wa kiungo mshambuliaji huyo kutoka DR Congo. Nyota huyo...
JUMAPILI hii Aprili 20, 2025, Simba SC itaikaribisha Stellenbosch FC katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Katika mchezo huo utakaofanyika Uwanja wa New Amaan Complex uliopo Kisiwani Unguja, rekodi zinaonyesha upande mmoja...
Unataka kuitwa Bosi wa Mtaa? Cheza Kasino leo ushindi ni rahisi, kupitia michezo ya kasino iliyopo Meridianbet unaweza kujikuta unaibuka na ushindi wa Mamilioni. Jisajili sasa Kuwa moja ya Matajiri wapya. Moja ya michezo ya kasino ya mtandaoni inayolipa Zaidi...
YANGA ilichowafanyia Stand United ni kitu cha kikatili sana, baada ya kuichakaza kwa mabao 8-1, kwenye mchezo ambao iliutawala vyema, ikiwafuata JKT Tanzania katika Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho (FA). Staa wa mchezo huo uliochezwa Jumanne hii alikuwa kiungo...
Meridianbet inawatangazia watanzania wote wenye kiu ya burudani na ushindi kuwa bado kuna nafasi ya kushiriki kwenye promosheni kali ya Aviator – Zungusha Ushinde PS5, inayofikia ukingoni kesho. Kwa wale ambao bado hawajapanda kwenye ndege ya ushindi, huu ndio wakati...
Moja kati ya vitu vyenye thamani kubwa duniani kwa rasilimali za asili ukiachana na mafuta kuna hii kitu inaitwa dhahabu, Tanzania imejaliwa utajiri huu lakini Meridianbet imekuletea mchezo maalum wa dhahabu tu na malipo yake ni makubwa yenye thamani...
SAKATA la kuahirishwa kwa dabi ya Kariakoo ya Yanga dhidi ya Simba limechukua sura mpya. Serikali kupitia Wizara ya Michezo imepanga kukutana na Mdhamini Mkuu wa Ligi Kuu Tanzania ikiwa ni sehemu ya jitihada zake kutafuta maridhiano. Akizungumza  jijini hapa wakati...
KITENDO cha Simba kufuzu nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika huku ikienda kucheza dhidi ya Stellenbosch, ni wazi itakuwa vita ya mabilionea wawili wenye nguvu kubwa ndani ya timu hizo ambao ni Mohamed Dewji na Johann Peter Rupert. Simba...
SIMBA kila mmoja yuko kwenye kilele cha furaha baada ya timu yao kufuzu kwa mara ya kwanza nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Lakini Kocha wa Al Masry, Anis Boujelbene ametamka kitu kizito. Amesema kwamba kwa kiwango ambacho Simba...
SUALA la kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz KI kuendelea kuwapo ndani ya kikosi hicho ni jambo la muda tu kuanzia sasa kutokana na matajiri wa Kiarabu kujipanga kumng’oa Jangwani. Aziz Ki anayemiliki mabao saba na asisti saba katika Ligi...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS