Home Blog Page 9
KOCHA wa Simba SC, Fadlu Davids ameonyesha matumaini katika mchezo wa marudiano wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika licha ya kupoteza ugenini kwa mabao 2-0 dhidi ya Al Masry. Davids alikiri timu yake ilifanya makosa yaliyoigharimu, lakini anaamini...
Mechi kali leo hii Duniani zinaendelea na Meridianbet wapo tayari kuhakikisha hawakuachi hivyo hivyo, na ndio maana wameamua kukupatia ODDS za kibabe na machaguo zaidi ya 1000 kwenye mechi za leo. Tengeneza pesa ligi kuu ya Italia SERIE A nayo...
KUNA uwezekano mkubwa wa straika wa zamani wa Simba na Yanga, Jean Baleke akajiunga na AmaZulu FC ya Afrika Kusini, baada ya kuwepo kwa mazungumzo baina yake na uongozi wa timu hiyo kuhitaji huduma yake. Taarifa kutoka kwa watu wake...
YANGA inapiga hesabu za kuwa na winga wa maana anayetumia mguu wa kushoto kwa msimu ujao na akili hiyo imetua kwa mtu mmoja mtunguaji ndani ya Azam FC. Pale Azam winga ambaye anawapasua kichwa Yanga ni raia huyo wa Gambia,...
BAADA ya Yanga kupata ushindi wa mabao 3-0, dhidi ya Tabora United hivi karibuni, hakika mechi saba zilizobaki kwa Simba na Yanga zimewekewa mtego wa ubingwa wa Ligi Kuu Bara 2024/2025. Simba haitakuwa na mchezo wowote wa Ligi Kuu kwa...
Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally, amewataka mashabiki na wanachama wa klabu hiyo kuacha kuwapa nafasi watu wanaoibeza timu yao, akisisitiza kuwa Simba haijaenda kukamilisha ratiba bali inapigania hatua ya nusu fainali...
Ushindi upo nje nje leo hii ligi kuu mbalimbali Duniani zinaendelea na ndani ya Meridianbet kuna nafasi ya wewe kutabasamu leo. Je mkeka wapo unampa nani na nani akupe ushindi? Leo SERIE A kule Italia itaendelea Como 1907 atasafiri kucheza...
Moja kati ya biashara nzuri na yenye mtaji mdogo ni uuzaji wa matunda, huhitaji kuwa na mamilioni ufanye uwekezaji bali unahitaji akili tu ya namna ya kuweka dau lako. Meridianbet Kasino ya Mtandaoni kuna huu mchezo wa Matunda unaitwa...
Mechi kali leo hii Duniani zinaendelea na Meridianbet wapo tayari kuhakikisha hawakuachi hivyo hivyo, na ndio maana wameamua kukupatia ODDS za kibabe na machaguo zaidi ya 1000 kwenye mechi za leo. LALIGA kuna mechi kali ya pesa leo, Rayo Vallecano...
MWENYEKITI klabu ya Simba, Murtaza Mangungu, amesema timu yake inarejea nyumbani ikiwa na matumaini makubwa ya kulipiza kisasi dhidi ya Al Masry katika mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika utakaofanyika kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Simba ilipoteza mchezo...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS