POCHETTINO ATAJWA KUIBUKIA ATHLETIC BILBAO KUBEBA MIKOBA YA GARITANO
MAURICIO Pochettino, aliyekuwa Kocha Mkuu wa Tottenham kwa sasa anahusishwa kujiunga na Klabu ya Athletic Bilbao ili kubeba mikoba ya kocha Gaizko Garitano ambaye...
KASHASHA: CHAMA ATAWASAIDIA YANGA KUTOKANA NA UBORA
MTANGAZAJI na mchambuzi maarufu wa masuala ya michezo nchini, Alex Kashasha ‘Mwalimu Kashasha’, amekiri kuwa kama Yanga itafanikiwa kumsajili kiungo nyota wa Klabu ya...
SIMBA YATOA TAMKO ISHU YA CHAMA KUIBUKIA YANGA
UONGOZI wa Simba umesema kuwa kwa sasa nyota wao Clatous Chama ataendelea kuwa ndani ya kikosi hicho kwa kuwa ni mali yao.Chama mwenye mabao...
YANGA YATAJA ALIYEWAYEYUSHIA USHINDI DAR DABI
KOCHA Mkuu wa Yanga, Cedric Kaze amesema kuwa kutokuwepo kwa nyota wake mtengeneza mipango namba moja kwa wageni Carlos Carlinhos ni miongoni mwa sabab...
SIMON MSUVA DARASA TOSHA KWA WANAOPENDA MAFANIKIO
SIMON Msuva nyota mzawa ambaye yupo kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania kinachojiandaa na mchezo dhidi ya Tunisia unaotarajiwa kuchezwa Novemba 13...
VINARA WA LIGI KUU BARA AZAM FC WAINGIA CHIMBO
VINARA wa Ligi Kuu Bara, Azam FC kwa sasa wamerejea chimbo kuivutia kasi Klabu ya KMC kwenye mchezo wao ujao wa Ligi Kuu Bara.Ushindi...
SIMBA YAFUNGUKIA ISHU YA UNAHODHA
KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck, amesema kuwa ndani ya kikosi hicho kuna nyota wengi wanaoweza kuvaa kitambaa cha unahodha na kuwaongoza wenzake na...
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATANO
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Jumatano
MWAKINYO NA MUARGENTINA WATAMBIANA KABLA YA KUKUTANA KUZICHAPA
BONDIA Hassan Mwakinyo na Muargentina Jose Carlos Paz wametamba kila mmoja atamchapa mwenzake katika pambano la kuwania ubingwa wa uzito wa Super-Welter wa mabara unaotambuliwa...
TIMU YA TAIFA YA WANAWAKE U 17 YAIBUKA NA USHINDI WA MABAO 10-1 DHIDI...
SHEHAT Mohame ameibuka kuwa mchezaji bora leo Novemba 10 wakati timu ya Taifa ya Wanawake U 17 ikishinda mabao 10-1 dhidi ya Zimbabwe kwenye...