STARS IKIFANYA HAYA LEO INASHINDA MBELE YA TUNISIA

0
 TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, imeendelea na maandalizi ya kujiwinda na mchezo wa marudiano dhidi ya Tunisia unaotarajiwa kupigwa leo Jumanne kwenye...

LIVERPOOL INA MATUMAINI YA KUWATUMIA NYOTA WAKE WAWILI DHIDI YA LEICESTER

0
LIVERPOOL ina matumaini ya kumtumia nahodha wao Jordan Henderson pamoja na Andy Robertson kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu England dhidi ya Leicester City...

SIMBA WAMFUATA NTIBAZOKIZA,FARID AGOMEA JEZI YAKE NI NDANI YA SPOTI XTRA JUMANNE

0
 MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la SPOTI XTRA Jumanne

MANCHESTER UNITED WAHOFIA TABIA YA MASON, MASHABIKI WAMTAJA MORRISON

0
 TIMU ya Manchester United imepata hofu kuhusiana na tabia ya kinda wao Mason Greenwood kuonekana kupenda kujirusha kuliko kupumzika. Klabu hiyo imesema kuwa kuna hofu...

MSHAMBULIAJI SIMBA AAHIDI KUFUNGA MABAO MENGI AKIPEWA NAFASI NA SVEN

0
 MSHAMBULIAJI wa Klabu ya Simba, Charlse Ilanfya amesema kuwa ikiwa Kocha Mkuu wa timu, Sven Vandenbroeck atampa nafasi ya kuanza kwenye kikosi cha kwanza...

YANGA YAUTAKA UBINGWA ULIOPO MIKONONI MWA SIMBA

0
 KIUNGO mzawa Feisal Salum, ameweka bayana kuwa wamekubaliana kupambana msimu wa 2020/21 kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara. Yanga ipo nafasi ya pili ikiwa na...

KESHO NDANI YA SPOTI XTRA JUMANNE, USIPANGE KUKOSA NAKALA YAKO

0
 USIPANGE kukosa nakala yako ya kesho Gazeti la SPOTI XTRA Jumanne ni jero tu litakuwa mtaani kwa mara ya kwanza

DUBE AFANYA YAKE ZIMBABWE

0
 PRINCE Dube, raia wa Zimbabwe leo amefunga bao la kusawazisha kwa timu yake ya Taifa wakati ikilazimisha sare ya kufungana mabao 2-2 dhidi ya...

SIMBA YATOSHANA NGUVU NA AFRICAN SPORTS

0
 KIKOSI cha Simba leo kimalazimisha sare ya bila kufungana na timu ya African Sports kwenye mchezo wa kirafiki uliochezwa Uwanja wa Azam Complex.Chini ya...

SIMBA YANASA FAILI LA WAPINZANI WAO KIMATAIFA, MKAKATI WAO UPO HIVI

0
 KOCHA Mkuu wa Simba, Mbelgiji, Sven Vandenbroeck, ameweka wazi kuwa kwenye hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika wanatakiwa kujiandaa kwa makini katika kuelekea mchezo huo...