MASHABIKI WAITWA UWANJA WA MKAPA KESHO KUISAPOTI STARS SAA 4 USIKU
MJUMBE wa Kamati ya Ushindi wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Haji Manara amesema kuwa linapofika suala la kushabikia Stars muhimu kuweka...
VITA YA TATU BORA NDANI YA BONGO NI MOTO
NGOMA inazidi kupigwa kwa sasa ndani ya Ligi Kuu Bara ambapo vita ya kuwania ubingwa imeanza kukolea kwa timu tatu za juu ambazo zinaonekana...
SERGIO RAMOS AWEKA REKODI YAKE TIMU YA TAIFA
SERGIO Ramos, nyota ndani ya Klabu ya Real Madrid na timu ya Taifa ya Hispania ameandika rekodi yake ya kuweza kucheza jumla ya mechi...
WAWA KABLA YA MECHI LAZIMA AANZE NA MUNGU, KING KIBA NA MONDI AWATAJA
PASCAL Wawa, beki wa Simba amesema kuwa kabla ya mchezo wowote ule kuanza yeye hupenda kusali pamoja na kuskiliza muziki mzuri.Raia huyo wa Ivory...
RAHEEM STERLING ANAWEZA KUCHEZA DHIDI YA TOTTENHAM
MSHAMBULIAJI wa Klabu ya Manchester City, Raheem Sterling ana matumaini ya kuanza kwenye mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya Tottenham baada ya kupata majeraha...
MO DEWJI: SIMBA HAINA HELA
MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ndani ya Klabu ya Simba, Mohamed Dewji amesema kuwa hela zote za usajili yeye anatoa kwa kuwa timu hiyo...
MAISHA YA POGBA MANCHESTER UNITED MAGUMU, ATAJWA KUIBUKIA HISPANIA
PAUL Pogba kiungo wa Klabu ya Manchester United huenda akaibukia ndani ya Klabu ya Real Madrid msimu ujao kutokana na kutopewa nafasi ndani ya...
MASHINE MPYA YA YANGA NI MWENDO WA KUTUPIA TU HUKO
NYOTA mpya wa Yanga, Said Ntibazonkiza raia wa Burundi amezidi kuwasha moto kwenye timu yake ya Taifa kwa kufunga mabao muhimu ya ushindi kwenye...
KUONA UJANJA WA IBRAHIM AJIBU, AME NA WAWA BUKU TATU TU
KIKOSI cha Simba kilicho chini ya Kocha Mkuu Sven Vandenbroeck leo Novemba 16 kitakuwa na mchezo wa kirafiki dhidi ya African Sports utakaochezwa Uwanja...
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATATU
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Jumatatu