SIMBA YAWEKA HADHARANI MAJEMBE YA KAZI YATAKAYOIMALIZA YANGA KWA MKAPA
YAMEBAKI masaa leo Novemba 7 kabla ya watani wa jadi Yanga na Simba kukutana Uwanja wa Mkapa kusaka pointi tatu, mabingwa watetezi Simba wameweka...
WILLIAN ANAAMINI ARSENAL ITATWAA UBINGWA WA LIGI KUU ENGLAND
WILLIAN da Silva, winga wa kikosi cha Arsenal amesema kuwa ana matumaini makubwa ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu England akiwa chini ya Kocha...
TAIFA STARS KUWAVAA TUNISIA BILA MASHABIKI KWA SABABU YA CORONA
MCHEZO wa Novemba 14 Uwanja wa Mkapa kati ya Timu ya Taifa ya Tanzania na Tunisia huenda ukachezwa bila ya uwepo wa mashabiki baada...
PACHA TANO MATATA AMBAZO YANGA WANATAMBIA KUIMALIZA SIMBA HIZI HAPA
YANGA kuelekea Dabi ya Kariakoo dhidi ya Simba itakayochezwa leo Novemba 7, Jumamosi hii kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar, tayari ina kombinesheni tano za...
OLE GINNAR AFUNGUKIA HATMA YAKE UNITED
KOCHA wa Manchester United, Ole Gunnar Solksjaer, amesema makosa yaliyofanywa na mabeki wake yaliyosababisha wafungwe bao 2-1 na Instanbul Basaksehir katika ligi ya mabingwa Ulaya si ya...
KAZE KIBARUANI LEO, KUKOSA NYOTA WAKE NANE DHIDI YA SIMBA
CEDRIC Kaze, Kocha Mkuu wa Yanga leo anakazi ya kwanza kukiongoza kikosi hicho kwenye mchezo wa Lig Kuu Baa dhidi ya Simba utakaochezwa Uwanja...
ORODHA YA NYOTA SABA WA SIMBA WATAKAOIKOSA DABI LEO KWA MKAPA
LEO Kikosi cha Simba kitakuwa na kazi ya kusaka pointi tatu muhimu mbele ya watani zao wa jadi Yanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu...
MPINZANI WA MWAKINYO ATIA TIMU BONGO KUTOKA ARGENTINA NA TAMBO KIBAO
JOSE Carlos Paz, atakayezichapa na Hassan Mwakinyo Novemba 13 kwenye ukumbi wa Next Door Arena Oysterbay amewasili na kutamba kutwaa ubingwa wa uzito wa...
SERIKALI YAWAPA ONYO WANG’OA VITI KWENYE DABI YA KESHO
KUELEKEA mchezo wa watani wa jadi, Yanga dhidi ya Simba, Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa, ametoa...