AZAM FC KUMBE HAINA SHIDA YA MABAO NDANI YA LIGI KUU BARA
VIVIER Bahati, Kocha msaidizi wa Klabu ya Azam FC ambao ni vinara wa Ligi Kuu Bara amesema kuwa wao hawahitaji mabao mengi ndani ya...
HIYO NOVEMBA 7 KWA MKAPA KAZI ITAKUWA NZITO KWA KAZE V SVEN, CHEKI REKODI...
KOCHA mpya wa Yanga, Cedric Kaze, tayari ameshaanza kazi ndani ya kikosi cha timu hiyo huku akitoa ahadi kwa mashabiki wa Yanga watarajie soka...
KIKOSI CHA SIMBA CHAANZA SAFARI KUIFUATA TANZANIA PRISONS, RUKWA
KIKOSI cha Simba leo Oktoba 20 kimeanza safari kutoka Mbeya kuelekea Rukwa kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Tanzania Prisons. Simba...
MUANGOLA WA YANGA CARLINHOS MAJANGA
KIUNGO namba moja kwa kupiga mipira iliyokufa na kutengeneza pasi za mwisho ndani ya Yanga, Carlos Carlinhos kwa sasa anatibu jeraha lake alilopata ndani...
LIVERPOOL YAAMBIWA KUWA ITAKUWA NGUMU KUTETEA UBINGWA
LEGENDI, Jamie Carragher anaamini kwamba Klabu yake ya zamani ya Liverpool itapata tabu kubwa kutetea taji la ubingwa wa Ligi Kuu England bila uwepo wa...
NAMUNGO FC: TATIZO LIPO KWENYE MAANDALIZI
HITIMANA Thiery, Kocha Mkuu wa Klabu ya Namungo FC amesema kuwa tatizo linaloisumbua timu hiyo kwa sasa ni kushindwa kupata maandalizi mazuri mwanzoni mwa...
NYOTA WATATU WA SIMBA KUIKOSA TANZANIA PRISONS
NYOTA watatu wa kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Sven Vandenbroeck raia wa Ubelgiji akiwa na msaidizi mzawa, Seleman Matola wanatarajiwa kuukosa mchezo...
NYOTA WAWILI WA YANGA KUUKOSA MCHEZO WA POLISI TANZANIA
NYOTA wawili wa Yanga wanatarajiwa kuukosa jumla mchezo wa kwanza kwa Kocha Mkuu, Cedric Kaze kutokana na kutokuwa fiti kiafya. Ally Makame nyota wa Klabu...
RATIBA YA LEO OKTOBA 20 NDANI YA LIGI KUU BARA
LEO Oktoba 20 Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea kutimua vumbi ambapo kutakuwa na timu nane ambazo zitashuka kwenye viwanja vinne tofauti kusaka pointi tatu...
TFF YATAJA MAFANIKIO YAKE KWA MUDA WA MIAKA MINNE
RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia, amesema upatikanaji wa viwanja kwa ajili ya kukuza soka vilivyopo Kigamboni jijini Dar na mkoani...