WAAMUZI 2020/21 MAKOSA YA 2019/20 YASIPEWE NAFASI
MAAMUZI makini ndani ya uwanja kwa waamuzi wetu wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa wakati huu yanatakiwa ili kuongeza hamasa ya mashabiki kuzidi kujitokeza...
MSERBIA WA YANGA AVUNJA REKODI KIBABE
ZLATKO Krompotic, Kocha Mkuu wa Yanga ingizo jipya lililobeba mikoba ya Luc Eymael raia wa Ubelgiji amevunja rekodi ya pointi ndani ya kikosi hicho...
FRAGA AANZA NA MAJANGA SIMBA
AKICHEZA mchezo wake wa kwanza wa Ligi Kuu Bara, kiungo mkabaji Mbrazili Gerson Fraga ameanza na nuksi baada ya kupata majeraha kwenye mchezo huo.Mbrazili...
KMC KAMILI GADO KUIVAA MWADUI FC LEO
OFISA Habari wa KMC, Christina Mwagala amesema kuwa kikosi kipo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo Septemba 21 dhidi ya Mwadui FC.KMC imeanza...
MANE AWAMALIZA CHELSEA DARAJANI JUMLAJUMLA
JURGEN Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool amesema kuwa wachezaji wake walipambana muda wote ndani ya uwanja mbele ya Chelsea wakati wakiibuka na ushindi wa...
AZAM FC WAKUBALI MUZIKI WA MBEYA CITY, WAAMUZI WATOLEWA CHINI YA ULINZI
LICHA ya Azam FC kuibuka na ushindi wa bao 1-0 mbele ya Mbeya City, jana Septemba 20, uongozi wa matajiri hao wa Dar es...
TIMU YA MBWANA SAMATTA MZIGONI, VPL, SERIE A RATIBA HII HAPA
LEO Septemba 20, Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea ambapo ipo mzunguko wa tatu mechi mbili zitapigwa kwa kila timu kusaka pointi tatu muhimu.Mwadui FC...
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATATU
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatatu
MSIMAMO WA LIGI KUU TANZANIA BARA UPO NAMNA HII
MSIMAMO wa Ligi Kuu Bara ulivyo kwa sasa ikiwa ni mzunguko wa tatu umeanza kutimua vumbi kabla ya leo mechi nyingine kuendelea kwa timu...
SIMBA YAIPIGA 4G BIASHARA UNITED KWA MKAPA
KIKOSI cha Simba leo kinachonolewa na Kocha Mkuu, Sven Vandenbroeck kimeibuka na ushindi wa mabao 4-0 mbele ya Biashara United kwenye mchezo wa ligi...