video

YANGA: HAJI NI MALI YETU, ONYANGO ANA MIAKA YA KENYA

admin August 5, 2021 6:43 am

SHABIKI wa Yanga ameweka wazi kwamba Haji Manara ambaye alikuwa ni Ofisa Habari wa Simba yeye ni mali ya Yanga hivyo anakaribishwa ndani ya kikosi hicho. 


Pia ameweka wazi kuwa kwa usajili ambao wameufanya kwa sasa wanaweza kufanya vizuri zaidi huku akibainisha kwamba nyota wa Simba Peter Banda ni mtoto na Onyango ana miaka 27 ya Kenya.

 

SIMBA YASAJILI MTAMBO WA MABAO 9 VIDEO: WAKALA WA WACHEZAJI KUMLETA MCHEZAJI MWENYE UWEZO YANGA, AZUNGUMZA NA INJINIA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply