SAKATA LA KESI YA MORRISON, FIFA HIKI NDICHO WALICHOWAFANYIA YANGA
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umesema mpaka sasa bado haujajibiwa barua yao na Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) juu ya kesi yao na...
ISHU YA KAGERE NA SVEN IMEFIKIA HAPA
KOCHA Mkuu wa Klabu ya Simba, Sven Vandebroeck amesema kinachoendelea juu yake na mshambuliaji Meddie Kagere ni siri yake hawezi kuweka hadharani. Sven amedai kuwa...
MSIMAMO WA LIGI KUU TANZANIA BARA UPO NAMNA HII
MSIMAMO wa Ligi Kuu Bara kwa sasa upo namna hii baada ya Yanga kushinda kwa bao 1-0 mbele ya Kagera Sugar na Namungo FC...
YANGA YAIPOTEZA KAGERA SUGAR KWENYE TAKWIMU, SASA INAONGOZA LIGI
YANGA leo Septemba 19 imeibuka na ushindi wa bao 1-0 mbele ya Kagera Sugar kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Kaitaba,...
VPL: KAGERA SUGAR 0-0 YANGA
Kagera Sugar 0-0 YangaKipindi cha kwanzaUwanja wa KaitabaZimeongezwa dakika 2Dakika ya 45 Sarpong anachezewa faulo na Eric anaonyeshwa kadi ya njanoDakika ya 42 Kibwana...
TRAORE AMALIZANA NA ASTON VILLA
ASTON Villa imethibitisha kukamilisha usajili wa Bertrand Traore kutoka Lyon. Traore hapo awali alikuwa akiichezea Ajax na Chelsea kabla ya kusaini Lyon misimu mitatu iliyopita.Kocha Mkuu wa Aston Villa, Dean Smit amesema...
JESHI LA YANGA LITAKALOUMANA NA KAGERA SUGAR LEO KAITABA
KIKOSI cha Yanga kitakachaoanza leo Septemba 19 mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar, Uwanja wa Kaitaba.Hiki hapa kikosi cha kwanza:- Metacha MnataKibwana...
ISHU YA BALE YAMKASIRISHA RAIS
RAIS wa Real Madrid, Florentino Perez, ameripotiwa kuwa amesikitishwa na jinsi kocha Zinedine Zidane alivyoshughulikia sakata la Bale wakati mshambuliaji huyo akiwa mbioni kujiunga...
MSERBIA WA YANGA AKABIDHIWA MAFAILI YA KAGERA SUGAR
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mserbia, Zlatko Krmpotic amesema amepokea faili zote za Kagera Sugar ambao wanapambana nao leo hivyo anaindaa timu yake kuhakikisha inawatesa...
SARPONG, MUANGOLA WA YANGA WAINGIA KWENYE MTEGO HUU MAZIMA
MICHAEL Sarpong, mshambuliaji ndani ya Klabu ya Yanga pamoja na kiungo Muangola, Carlos Carlinhos wameingia kwenye mtengo wa kwanza mazima ndani ya kikosi hicho...