MATOKEO YA MECHI ZA LEO, MABAO TANO YAKUSANYWA
LEO Septemba 27 mechi tatu zimepigwa kwa timu sita kuwa uwanjani kusaka pointi tatu muhimu.Jumla yamefungwa mabao matatu kwenye mechi zote tatu ambapo ni...
VPL: MTIBWA SUGAR 0-0 YANGA
Mtibwa Sugar 0-0 YangaUwanja wa Jamhuri,MorogoroUWANJA wa Jamhuri Morogoro kwa sasa ni mchezo kati ya Mtibwa Sugar na Yanga mchezo wa Ligi Kuu Bara...
MTIBWA V YANGA LEO JAMHURI KAZI IPO
MABINGWA wa kihistoria katika Ligi Kuu Bara, Yanga, leo Jumapili wana kazi moja tu ya kuhakikisha wanaibuka na ushindi mbele ya Mtibwa Sugar, ikiwa...
TAMMY AWA SHUJAA CHELSEA IKIBANWA MBAVU
NYOTA wa Chelsea, Tammy Abraham aliokoa jahazi la Chelsea lisizame mbele ya West Brom kwenye sare ya kufungana mabao 3-3 mchezo wa Ligi Kuu...
AZAM FC YAWEKA REKODI YA KIBABE DAKIKA 360
AZAM FC inayonolewa na Kocha Mkuu, Aristica Cioaba raia wa Romania imeweka rekodi yake kwa msimu wa 2020/21 baada ya kucheza mechi nne ambazo...
KOCHA MANCHESTER UNITED HANA MPANGO WA KUSAJILI BEKI
OLE Gunnar Solskjaer, Kocha Mkuu wa Manchester United amesema kuwa timu yake kwa sasa haina uhitaji mkubwa wa kupata beki kwa kuwa anaamini wachezaji...
HIZI HAPA REKODI ZA MTIBWA SUGAR V YANGA
LEO Septemba 27, Mtibwa Sugar itawakaribisha Yanga Uwanja wa Jamhuri, Morogoro kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara. Rekodi zinaonyesha kuwa tangu msimu wa 2011...
BOSI YANGA AZUNGUMZIA ISHU YA CHAMA WA SIMBA
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa kwa sasa hauwezi kuzungumzia ishu ya kuitaka saini ya nyota namba moja ndani ya Simba, Clatous Chama.Chama amekuwa akitajwa...
KIKOSI CHA YANGA KITAKACHOANZA LEO DHIDI YA MTIBWA SUGAR, UWANJA WA JAMHURI
KIKOSI cha Yanga kitakachoanza leo Septemba 27 dhidi ya Mtibwa Sugar Uwanja wa Jamhuri, Morogoro
AZAM FC YARUDISHA USHINDI WAO KWA MASHABIKI
OFISA Habari wa Azam FC, Zakaria Thabit amesema kuwa ushindi ambao wameupata jana umetokana na juhudi za wachezaji kujituma ndani ya uwanja pamoja na...