AZAM FC WAZIPIGIA HESABU POINTI TATU ZA MBEYA CITY

0
 UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa upo tayari kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaopigwa Septemba 20, Uwanja wa Sokoine Mbeya dhidi...

BERNARD MORRISON KUKUTANA NA BALAA LA SARPONG

0
 BERNARD Morrison, kiungo mshambuliaji ndani ya Klabu ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Sven Vandenbroeck ana mechi tatu za moto mkononi ambazo ni sawa...

RAIS TBF AOMBA WADAU WAENDELEE KUTOA SAPOTI

0
 PHARES Magesa, Rais wa Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania,(TBF) amewaomba wadau wa mpira wa kikapu waendelee kujitokeza kutoa sapoti katika maendeleo ya mpira...

KAGERA SUGAR YAZITAKA POINTI TATU ZA YANGA

0
 MECKY Maxime, Kocha Mkuu wa Kagera Sugar amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao dhidi ya Yanga utakaopigwa Uwanja wa Kaitaba Septemba...

MFUMO MPYA WA BONASI NDANI YA YANGA WABADILIKA

0
 HERSI Said, Mkurugenzi wa Uwekezaji wa Kampuni ya GSM ambao ni wadhamini wa Klabu ya Yanga amesema kuwa mpango mkubwa ni kuona kwamba wanaendelea...

SIMBA YAANZA KUIPIGIA HESABU BIASHARA UNITED

0
 UONGOZI wa Simba umesema kuwa upo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Biashara United utakaopigwa Septemba 20, Uwanja...

YANGA KUIVAA MLANDEGE LEO AZAM COMPLEX

0
 LEO Septemba 16, kikosi cha Yanga kinachonolewa na Zlatko Krmpotic raia wa Serbia kitashuka Uwanja wa Azam Complex kumenyana na Mlandenge FC ya kutoka...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATANO

0
 MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Jumatano

KMC WAWEKA REKODI YA KIBABE VPL

0
 WANA Kino Boys,  KMC ndio kikosi kilichoweka rekodi ya kufunga mabao mengi kuliko timu zote ndani ya Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2020/21.Jumla...

AUBAMEYANG AONGEZA MKATABA WA MIAKA MITATU ARSENAL

0
 RASMI sasa nyota wa Arsenal, Pierre Emerick Aubameyang ameongeza dili la kuitumikia timu hiyo kwa muda wa miaka mitatu.Nyota huyo alikuwa kwenye mvutano na...