ORODHA YA NYOTA SABA WA SIMBA WALIOITWA KIKOSI CHA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA

0
LEO Oktoba 2, Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Ettiene Ndayiragije ametangaza kikosi kazi kitakachoingia kambni Oktoba 5,2020 kwa ajili...

LUIS MIQUSSONE WA SIMBA NA CARLINHOS WAINGIA KWENYE VITA MPYA

0
 ZIKIWA zimebaki siku 15 kabla ya Yanga kukutana na Simba, Uwanja wa Mkapa, Oktoba 18, viungo wawili wakigeni ndani ya Ligi Kuu Bara, Carlos...

SAKATA LA MKATABA WA MORRISON LATINGA TFF

0
 SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limetoa taarifa kwamba kimetokea malalamiko ya Klabu ya Yanga kuhusu uhalali wa mkataba kati ya mchezaji Bernard Morrison na...

NYOTA HAWA WALITISHA RAUNDI YA NNE

0
NGOMA bado hailali kwa sasa ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ikiwa ni raundi ya nne na mambo yanazidi kupamba moto kila raundi na...

HIKI HAPA KIKOSI CHA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA KITAKACHOINGIA KAMBINI OKTOBA 5

0
 KIKOSI cha timu ya Taifa kilichoitwa leo kwa ajili ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Burundi

NYOTA WENGINE SABA NDANI YA YANGA KUPEWA MIKATABA

0
KLABU ya Yanga ipo kwnye mpango wa uongezea mkataba nyota wake wengine saba amba mikataba yao inakaribia kufika ukingoni.Miongoni mwa nyota ambao wanakipiga ndani...

ARTETA AKUBALI UWEZO WA KIPA WAKE LENO

0
 MIKEL Arteta, Kocha Mkuu wa Arsenal amesema kuwa kia wake namba moja Bernd Leno alionyesha kiwango cha hali ya juu kwenye mchezo wa Carabao...

CHEKI KIKOSI CHA MUUNGANIKO WA YANGA V SIMBA 2020/21

0
 BAADA ya mechi nne kikosi cha muungano wa Yanga dhidi ya Simba ambao wanakutana Oktoba 18 Uwanja wa Mkapa kipo namna hii:-Aishi Manula atakaa...

YANGA YAFUNGUKIA USHINDI WA BAO MOJAMOJA

0
 JUMA Mwambusi, Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa ushindi wanaoupata kwenye mechi za ligi wa bao mojamoja utafika kikomo hivi karibuni kwa kuwa bado...

KAGERA SUGAR YAZIPIGIA HESABU POINTI TATU ZA AZAM FC

0
 YUSUPH Mhilu mtupiaji namba moja ndani ya Kagera Sugar ana kibarua kizito cha kuongoza kikosi chake kwenye mchezo wao wa ligi dhidi ya Azam...