SABABU YA MUANGOLA WA YANGA KUJENGA USHKAJI NA BENCHI HII HAPA
KOCHA wa Yanga, Mserbia, Zlatko Krmpotic amesema ataanza kumtumia kiungo mpya wa Yanga, Carlos Carlinhos katika michezo inayofuata ya ligi. Carlinhos amesajiliwa na Yanga hivi...
MO: SITISHIKI NA WANAONIPIGA VITA
MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Mohammed Dewji ‘Mo’ amesema hakuna mtu anayeweza kumuondoa kwenye timu hiyo kwa sasa. Mo ambaye anafahamika kama mmoja...
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMAPILI
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele Gazeti la SPOTI XTRA Jumapili, nakala yake ni jero tu
HII HAPA RATIBA YA LIGI KUU BARA LEO SEPTEMBA 13
LEO Jumapili, Septemba 13. Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea ikiwa ni mzunguko wa pili.Hizi hapa zitakuwa uwanjani:-Ihefu v Ruvu Shooting, Uwanja wa Sokoine, Mbeya.Biashara...
MBEYA CITY:MCHEZO WETU DHIDI YA YANGA NI WA KIMBINU ZAIDI
AMRI Said, Kocha Mkuu wa Mbeya City amesema kuwa mchezo wa leo dhidi ya Yanga Uwanja wa Mkapa ni wa kimbinu zaidi na mpango...
UONGOZI WA SIMBA WATAJA KILICHOWAKWAMISHA JAMHURI,MOROGORO
JANA mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba walibanwa mbavu kwa kulazimisha sare ya kufungana bao 1-1 kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa...
MTAMBO WA MABAO YANGA WAFICHUA MAANA YA KUSHANGILIA KWAKE
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Mghana, Michael Sarpong amesema kuwa sababu kubwa ya kushangilia kwa kushika macho na kuweka mkono kifuani ni imani kwamba kufunga kwake...
MO SALAH APIGA HAT TRICK HUKO ENGLAND WAKATI LIVERPOOL IKIPIGA 4G
MSHAMBULIAJI namba moja ndani ya Klabu ya Liverpool, Mohamed Salah raia wa Misri leo amefunga hat trick ya kwanza ndani ya msimu mpya wa...
SIMBA HII MHH,YANGA WANAJAMBO LAO,KESHO NDANI YA SPOTI XTRA JUMAPILI
KESHO ndani ya Gazeti la SPOTI XTRA Jumapili usipange kukosa nakala yako jero tu
VPL:MTIBWA SUGAR 0-0 SIMBA
UWANJA wa Jamhuri, Morogoro kwa sasa mchezo ni kati ya Mtibwa Sugar dhidi ya Simba ikiwa ni kipindi cha kwanza. Timu zote mbili zinapambana...