SABABU YA MUANGOLA WA YANGA KUJENGA USHKAJI NA BENCHI HII HAPA

0
 KOCHA wa Yanga, Mserbia, Zlatko Krmpotic amesema ataanza kumtumia kiungo mpya wa Yanga, Carlos Carlinhos katika michezo inayofuata ya ligi. Carlinhos amesajiliwa na Yanga hivi...

MO: SITISHIKI NA WANAONIPIGA VITA

0
 MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Mohammed Dewji ‘Mo’ amesema hakuna mtu anayeweza kumuondoa kwenye timu hiyo kwa sasa. Mo ambaye anafahamika kama mmoja...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMAPILI

0
 MUONEKANO wa ukurasa wa mbele Gazeti la SPOTI XTRA Jumapili, nakala yake ni jero tu 

HII HAPA RATIBA YA LIGI KUU BARA LEO SEPTEMBA 13

0
 LEO Jumapili, Septemba 13. Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea ikiwa ni mzunguko wa pili.Hizi hapa zitakuwa uwanjani:-Ihefu v Ruvu Shooting, Uwanja wa Sokoine, Mbeya.Biashara...

MBEYA CITY:MCHEZO WETU DHIDI YA YANGA NI WA KIMBINU ZAIDI

0
 AMRI Said, Kocha Mkuu wa Mbeya City amesema kuwa mchezo wa leo dhidi ya Yanga Uwanja wa Mkapa ni wa kimbinu zaidi na mpango...

UONGOZI WA SIMBA WATAJA KILICHOWAKWAMISHA JAMHURI,MOROGORO

0
 JANA mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba walibanwa mbavu kwa kulazimisha sare ya kufungana bao 1-1 kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa...

MTAMBO WA MABAO YANGA WAFICHUA MAANA YA KUSHANGILIA KWAKE

0
 MSHAMBULIAJI wa Yanga, Mghana, Michael Sarpong amesema kuwa sababu kubwa ya kushangilia kwa kushika macho na kuweka mkono kifuani ni imani kwamba kufunga kwake...

MO SALAH APIGA HAT TRICK HUKO ENGLAND WAKATI LIVERPOOL IKIPIGA 4G

0
 MSHAMBULIAJI namba moja ndani ya Klabu ya Liverpool,  Mohamed Salah raia wa Misri leo amefunga hat trick ya kwanza ndani ya msimu mpya wa...

SIMBA HII MHH,YANGA WANAJAMBO LAO,KESHO NDANI YA SPOTI XTRA JUMAPILI

0
 KESHO ndani ya Gazeti la SPOTI XTRA Jumapili usipange kukosa nakala yako jero tu 

VPL:MTIBWA SUGAR 0-0 SIMBA

0
 UWANJA wa Jamhuri, Morogoro kwa sasa mchezo ni kati ya Mtibwa Sugar dhidi ya Simba ikiwa ni kipindi cha kwanza. Timu zote mbili zinapambana...