NYOTA WA YANGA AIBUKIA ZESCO UNITED
DAVID Molinga mshambuliaji wa zamani wa Yanga amejiunga na Klabu ya Zesco United ya Zambia
NAMUNGO FC:BADO TUNA NAFASI YA KUFANYA VIZURI
BIGIRIMAMA Blaise mshambuliaji namba moja ndani ya Klabu ya Namungo FC amesema kuwa wanaamini watarejea kwenye ubora wao licha ya kupoteza mechi mbiili mfululizo. Namungo...
MCHEZO WA KIRAFIKI: SIMBA 0-0 AFRICAN LYON
Simba 0-0 African Lyon Uwanja l: Azam Complex Dakika ya 26 Afrika Lyon wanapata fauloDakika ya 23 Mkude anachezewa faulo Dakika ya 22 Mugalu anapaisha ndani ya...
KIKOSI CHA SIMBA KITAKACHOANZA LEO DHIDI YA AFRIKA LYON MCHEZO WA KIRAFIKI
KIKOSI cha Simba kitakachoanza leo dhidi ya Afrika Lyon Uwanja wa Azam Complex mchezo wa kirafiki
SIMBA INA HESABU ZA KUCHEZA MECHI YA KIRAFIKI NA WAARABU
Ofisa Mtendaji Mkuu, Barbara Gonzalez akiongozana na Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi, Mulamu Nghambi wametembelea makao makuu ya klabu ya Al Ahly yaliyopo jijini...
MTIBWA SUGAR WAIPA SOMO KIMTINDO SIMBA KUHUSU WACHEZAJI WA GHARAMA
OFISA Habari wa Mtibwa Sugar, Thobias Kifaru amefichua kuwa kabla ya matokeo ya sare na Simba, wapinzani wao walijuwa watawafunga zaidi ya mabao 10...
KMC WATAJA KILICHO NYUMA YA USHINDI WAO
UONGOZI wa KMC umesema kuwa kikubwa kinachowabeba ndani ya Ligi Kuu Bara ni wachezaji kujituma na kutimiza majukumu yao ndani ya uwanja.Ushindi wa jana...
LIVERPOOL IPO KWENYE HESABU ZA KUPATA SAINI YA MBAPPE
IMERIPOTIWA kuwa Klabu ya Liverpool ipo kwenye hesabu za kumpata mshambuliaji wa Klabu ya Paris Saint-German,(PSG) Kylian Mbappe kwa ajili ya kuibukia ndani ya...
YANGA YAZITAKA POINTI TATU ZA MTIBWA SUGAR
BEKI kisiki wa Yanga, Lamine Moro amesema kuwa wachezaji wapo tayari kwa ajili ya ushindani ndani ya Ligi Kuu Bara kutokana na maandalizi ambayo...
SIMBA KUSHUSHA MUZIKI WA KAZI MBELE YA AFRICAN LYON LEO
UONGOZI wa Simba umesema kuwa leo utashusha kikosi kizima cha kazi kwa ajili ya kushinda na kutoa burudani mbele ya African Lyon kwenye mchezo...