YANGA WAREJEA DAR, HESABU ZAO ZIPO KWENYE KOMBE TU
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa hesabu kubwa ndani ya Ligi Kuu Bara ni kuweza kutwaa ubingwa ambao waliokusa kwa misimu mitatu mfululizo jambo ambalo...
SAMATTA AINGIA ANGA ZA FULHAM
KLABU ya Fulham inayoshiriki Ligi Kuu England ‘Premier’ imeingia katika vita ya kumsajili mshambuliaji, Mtanzania, Mbwana Samatta anayekipiga Aston Villa.Hiyo ni baada ya Fenerbahce...
ALIYEWATUNGUA MANULA NA KAKOLANYA ATUMA UJUMBE HUU SIMBA
GERALD Mdamu, nyota mpya wa Biashara United ambaye aliibuka huko akitokea Klabu ya Mwadui FC amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao...
AZAM FC KIKAANGONI NDANI YA DAKIKA 180
KIKOSI cha Azam FC kinachonolewa na Aristica Cioaba leo kina kazi ya kuanza kuzimega dakika 180 za moto ugenini baada ya kuzitumia dakika 90...
MAJEMBE MAPYA POLISI TANZANIA YAWEKA REKODI YA KIBABE VPL
RASHID Juma, nyota wa Polisi Tanzania ambaye yupo hapo kwa mkopo akitokea Klabu ya Simba ameweka rekodi ya kibabe ndani ya Ligi Kuu Bara...
HASSAN KESSY KAMILI KUKUTANA NA MUZIKI WA SARPONG
HASSAN Kessy, beki kisiki ndani ya Klabu ya Mtibwa Sugar kwa sasa yupo kamili gado kuuvaa muziki wa Michael Sarpong, mshambuliaji wa Yanga ambaye ...
BAADA YA KUSEPA NA POINTI TATU ZA KAGERA SUGAR, MSERBIA ATOA LA MOYONI
ZLATKO Krmpotic, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wachezaji wake wamekuwa wakijitahidi kufanya vizuri ndani ya uwanja jambo ambalo limempa matumaini ya kuendelea na...
SIMBA V BIASHARA UNITED KUKIWASHA LEO KWA MKAPA, REKODI HIZI ZINAONGEA
LEO Septemba 20, Uwanja wa Mkapa, Simba itakuwa kazini majira ya saa 1:00 usiku ikimenyana na Biashara United mchezo wa Ligi Kuu Bara. Rekodi zinaonyesha...
CHELSEA YAKUBALI KUINASA SAINI YA KIPA WA RENNES
CHELSEA imekubali kupata saini ya kipa wa Rennes, Edouard Mendy baada ya kufikia makubaliano ya kulipa pauni milioni 26 kama dau la kuipata saini...
CHEKI NA RATIBA YA LEO, SEPTEMBA 20, VPL,PREMIER,LA LIGA
LEO Jumapili kwenye ulimwengu wa michezo ratiba zinaendelea kama kawaida ambapo ligi mbalimbali zinaendelea kukinukisha.Hizi hapa ni ratiba zao namna zilivyo tukianza na Bongo,...