MSUVA: CORONA IMECHANGIA KUSHUKA KWA THAMANI YA WACHEZAJI WENGI
THAMANI ya mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Simon Msuva, anayeichezea Difaa El Jadida ya Morocco kwa sasa imeonekana kushuka kutoka Sh.2.4 bilioni hadi Sh.1.5...
SIMBA YAIPOTEZA JUMLAJUMLA YANGA KWA MKAPA
ZIKIWA zimebaki siku 17 kwa Yanga na Simba kukutana Uwanja wa Mkapa kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara, rekodi zinaonyesha kuwa ndani ya dakika...
VITA YA KIATU CHA UFUNGAJI BORA NI MOTO NDANI YA LIGI KUU BARA
IKIWA kwa sasa Ligi Kuu Tanzania Bara ni mzunguko wa nne umekamilika huku zikichezwa jumla ya mechi nne ile vita ya kuwania kiatu bora...
DAVID KISSU AMPOTEZA MANULA JUMLAJUMLA
MLINDA mlango namba moja ndani ya Klabu ya Simba, Aishi Manula amenyooshwa mazima ndani ya dakika 360 alizokaa langoni na kipa namba moja wa...
YANGA KUMENYANA NA KMKM LEO AZAM COMPLEX
KIKOSI cha Yanga leo Septemba 30 kitacheza mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya KMKM ya Zanzibar,utakaopigwa Uwanja wa Azam Complex.Mchezo huo wa leo...
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATANO
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Jumatano
SIMBA WAANZA KUPIGA MATIZI LEO KUIWINDA JKT TANZANIA
SIMBA leo wameanza mazoezi kwa ajili ya kujiwinda na mchezo wao wa Ligi Kuu Bara utakaopigwa Oktoba 4 Uwanja wa Jamhuri Dodoma dhidi ya...
LAMINE MORO AONGEZA MKATABA YANGA
YANGA SC kupitia kwa Mkurugenzi wa Uwekezaji GSM, Eng. Hersi Said, wamethibitisha kuwa Beki wao wa kimataifa Mghana Lamine Moro ameongeza mkataba wa kuichezea...
KMC:TUMERUDI, HASIRA ZOTE KWA POLISI TANZANIA
UONGOZI wa KMC umesema kuwa kupoteza kwao mchezo wao wa kwanza mbele ya Kagera Sugar kwa kufungwa bao 1-0 hakujawatoa kwenye ramani kwani ni...
OLE GUNNAR AMWAMBIA SANCHO KABLA DIRISHA LA USAJILI HALIJAFUNGWA ATAIBUKIA UNITED
MANCHESTER United inasemekana wana imani watamsajili Jadon Sancho kabla ya dirisha la usajili kufungwa.Meneja wa Manchester United, Ole Gunnar Solskjaer amemwambia nyota wa Borussia...