CIOABA WA AZAM FC KUIVAA MBEYA CITY BILA NYOTA WAKE MMOJA
ARISTICA Cioaba, Kocha Mkuu wa Azam FC atakiongoza kikosi chake kesho kumenyana na Mbeya City Uwanja wa Sokoine bila nyota wake mmoja, Agrey Morris.Nyota...
SIMBA YAIWEKA KWENYE MIPANGO YANGA MAPEMA
KOCHA Mkuu wa Simba, Mbelgiji, Sven Vandenbroeck, ameelezea malengo yake hivi sasa ni kuhakikisha anashinda michezo mitano mfululizo ya Ligi Kuu Bara ukiwemo dhidi...
LIVERPOOL YAMALIZANA NA MKATA UMEME THIAGO, MIAKA MINNE
KLABU ya Liverpool imethibitisha kuwa imepata saini ya nyota wa Bayern Munich, Thiago Alcantara kwa dili la miaka minne.Kiungo huyo raia wa Hispania kwa...
YANGA YAENDELEA KUIVUTIA KASI KAGERA SUGAR
KIKOSI cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Zlatko Krmpotic leo Septemba 18 kimefanya mazoezi ya mwisho kwa ajili ya mchezo wake wa kesho dhidi...
MAJEMBE MAPYA POLISI TANZANIA NA JKT TANZANIA YAFUNGUA AKAUNTI ZAO
Daruesh Saliboko ingizo jipya ndani ya Polisi Tanzania amefungua akaunti yake ya mabao leo Septemba 18 wakati timu yake ikitoshana nguvu kwa kufungana bao...
MTIBWA SUGAR YASEPA NA POINTI TATU ZA IHEFU
MTIBWA Sugar inayonolewa na Kocha Mkuu, Zuber Katwila leo imeibuka na ushindi wa bao 1-0 mbele ya Ihefu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara...
TANZANIA PRISONS V NAMUNGO NI VITA YA KISASI
NAMUNGO FC ina kibarua cha kusaka pointi tatu kwenye mchezo wao wa kesho, Septemba 19 mbele ya Polisi Tanzania mchezo utakaochezwa Uwanja wa Nelson...
SAMATTA APIGIWA HESABU NA WEST BROM
IMEELEZWA kuwa Klabu ya West Brom ipo kwenye mpango wa kuipata saini ya nyota wa Aston Villa, Mtanzania, Mbwana Samatta.Samatta mwenye umri wa miaka...
KAGERA SUGAR YAZIPIGIA HESABU POINTI TATU ZA YANGA
UONGOZI wa Kagera Sugar umesema kuwa upo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho utakaowakutanisha mbele ya Yanga, Uwanja wa Kaitaba.Kagera Sugar itamenyana na...
KAGERA SUGAR YAZIPIGIA HESABU POINTI TATU ZA YANGA
UONGOZI wa Kagera Sugar umesema kuwa upo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho utakaowakutanisha mbele ya Yanga, Uwanja wa Kaitaba.Kagera Sugar itamenyana na...