BAADA YA KAZE KUZINGUA, HAWA HAPA WATAJWA KUINGIA ANGA ZA YANGA

0
 KLABU ya Yanga imebadilisha uamuzi wa kuendelea na kocha Cedric Kaze ambaye alitarajiwa kuwasili nchini kesho Ijumaa kwa ajili ya maandalizi ya Ligi Kuu...

MESSI ADAI KWAMBA YEYE NI MCHEZAJI HURU ANAWEZA KUSEPA, ISHU MPAKA FIFA

0
NYOTA wa Barcelona na timu ya Taifa ya Argentina, Lionel Messi amesema kuwa yeye ni mchezaji huru na anaweza kuondoka ndani ya klabu hiyo. Kwa...

AZAM FC KUKIWASHA LEO DHIDI YA KMC

0
 AZAM FC inayonolewa na Arstica Cioaba raia wa Romania, leo Agosti 27 inatarajia kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya KMC.Mchezo huo utapigwa majira ya...

HARMONIZE AMJIBU BOSI WAKE WA ZAMANI MONDI KUPITIA YANGA

0
 STAA wa Bongo Fleva, Rajab Abdul Kahali ‘Harmonize’ amemlipa aliyekuwa bosi wake Nasibu Abdul ‘Diamond’ baada ya Jumatatu kuachia wimbo maalum wa klabu ya...
Habari za Yanga

KICHUYA ATAJA SABABU YA ‘KUBUMA’ SIMBA

0
KIUNGO mshambuliaji wa Namungo FC, Shiza Kichuya anasema bado ana matumaini ya kurejea kwenye kiwango cha juu kama ilivyokuwa zamani huku akisema kuwa ukosefu...

PACHA HIZI NDANI YA MSIMU MPYA WA 2020/21 ZINAPEWA NAFASI YA KUBAMBA

0
 LIGI Kuu Bara inatarajiwa kuanza kutimua vumbi Septemba 6, huku msimu huu tukizishuhudia jumla ya timu 18 zikipambana kuwania ubingwa ambao unashikiliwa na Simba...

TUSIYENGE AFUNGA USAJILI YANGA,SIMBA YAFUNGA MABAO 14,NDANI YA SPOTI XTRA ALHAMISI

0
 MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Alhamis

MUANGOLA WA YANGA NA MORRISON WA SIMBA WALIPA MILIONI 36 TFF

0
 KLABU kongwe za Simba na Yanga, zimelazimika kulilipa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kiasi cha shilingi milioni 36 kwa pamoja ikiwa ni ada ya...

ISHU YA JUMA ABDUL KUREJEA YANGA IPO HIVI

0
JUMA Abdul, beki wa zamani wa Klabu ya Yanga amesema kwa sasa anafikiria zaidi kucheza soka la kulipwa nje ya nchi na kuna dili...

KOCHA MPYA YANGA AOMBA WIKI TATU KUTIA TIMU BONGO, MAAMUZI YAPO HIVI

0
 UONGOZI  wa Klabu ya Yanga, leo Agosti 26 umesema kuwa unamtafuta kocha mwingine atakayekuwa mbadala wa Cedric Kaze raia wa Burundi ambaye alikuwa kwenye...