YANGA YA GSM YAJITOSA UPYA KWA MAKAMBO WA HOROYA

0
YANGA wameamua kujilipua tena kwa straika wao wa zamani, Heritier Makambo anayekipiga AC Horoya ya Guinea.Awali, Horoya waligoma kumuachia Mkongomani huyo kwa madai kwamba,...

NDANDA YAGOMA KUSHUKA DARAJA

0
VITALIS Mayanga, mshambuliaji wa Ndanda FC amesema kuwa ni ngumu kwa timu yao kushuka daraja kutokana na hesabu ambazo wanazipiga kwa sasa.Mayanga amejiunga na...

MCHEKA NA NYAVU ANAYEWINDWA NA YANGA ATAJA KINACHOIMALIZA TIMU YAKE YA ZAMANI

0
MTUPIA mabao namba moja ndani ya Namungo ambaye aliwahi kucheza pia ndani ya Yanga amesema kuwa kilichokuwa kinaiponza Yanga kushindwa kutupia mabao mengi ni...

CHELSEA YAWEKA NGUMU KWA KANTE KUIBUKIA KWA ZIDANE

0
IMEELEZWA kuwa Klabu ya Chelsea imesitisha mpango wa kumuuza nyota wao N'Golo Kante msimu ujao.Real Madrid iliyo chini ya Kocha Mkuu Zinedine Zidane inatajwa...

KISA YANGA, SIMBA YAMKOMALIA CHAMA, YATAJA MUDA WA MKATABA WAKE

0
UONGOZI wa Simba umesema kuwa kiungo wao Clatous Chama raia wa Zambia mkataba wake bado unaishi mpaka pale Juni 2021.Chama amekuwa akihusishwa kujiunga na...

BANDA:TUNAPIGA MATIZI KAMA KAWAIDA HUKU

0
ABDI Banda, beki wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars anayekipiga Highlands Park FC ya Afrika Kusini amesema kuwa bado wanapiga matizi kama kawaida...

GUARDIOLA ANAWEZA KUSEPA NDANI YA MANCHESTER CITY, SABABU YATAJWA

0
EMANUEL Petit, mkongwe wa zamani wa timu ya Arsenal na timu ya Taifa ya Ufaransa amesema kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo Pep Guardiola...

SARAKASI ZA USAJILI KWA BONGO HUWA NI PASUA KICHWA ANAYESEPA HUWA BORA

0
AMISS  Tambwe ni nyota wa  zamani wa Yanga na Simba alicheza ndani ya Ligi Kuu Bara kwa mafanikio makubwa na kuweza kushika chati ndani...

MLINDA MLANGO YANGA: WASHAMBULIAJI WOTE BONGO WAPO VIZURI

0
MLINDA mlango namba mbili wa Yanga, Metacha Mnata amesema kuwa washambuliaji wote Bongo wapo vizuri ila kinachohitajika kwa mlinda mlango ni umakini.Akizungumza na Saleh...

ISHU YA KAHATA, KAGERE NA SHIBOUB KURUDI BONGO SIMBA YAIACHIA SERIKALI

0
UONGOZI wa Simba umesema kuwa kwa sasa unaiachia Serikali ishu ya wachezaji wao kurudi Bongo kutokana na wao kutokuwa na namna ya kufanya.Nyota wa...