KOCHA YANGA AWAVAA WACHEZAJI WAKE, KISA MABAO
KOCHA Mkuu wa Yanga, Zlatko Krmpotic amewajia juu wachezaji wake kwa kusema kuwa haridhishwi na kiwango cha mabao ambayo timu yake inafunga.Yanga mpaka sasa...
BOSI SIMBA AWAPA WATANI ZAKE MECHI 10
MMOJA wa Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Zacharia Hans Poppe, kama ameimpa mechi 10 tu timu ya Yanga ambayo inatamba na kiungo...
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA ALHAMISI
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la SPOTI XTRA Alhamisi
YANGA YAJA NA MIFUMO MITATU YA KAZI
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mserbia, Zlatko Krmpotic, amepata dawa ya timu jeuri baada ya kuongeza mifumo miwili ya uchezaji ili kuhakikisha anapata ushindi katika...
NYOTA ALIYEKUWA AKIWINDWA NA MANCHESTER UNITED AJIFUNGA MIAKA MITANO VILLA
KIUNGO fundi wa Aston Villa ambaye ni nahodha wa Mtanzania, Mbwana Samatta, Jack Grealish amesaini kandarasi mpya ya miaka mitano kuendelea kuitumikia klabu hiyo. Kiungo...
UCHEBE AMPOTEZA JUMLAJUMLA SVEN NDANI YA SIMBA
SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amepotezwa mazima na mtangulizi wake wa zamani, Patrick Aussems, ‘Uchebe’ ambaye alimuachia mikoba yake baada ya kupigwa chini...
SABABU YA MANARA KULIPA MILIONI TANO TFF MAPEMA HII HAPA
HAJI Manara, Ofisa Habari wa Simba, amesema kuwa sababu kubwa ya kulipa faini ya milioni tano mapema ni kuheshimu maamuzi yaliyotolewa na Kamati ya...
MECHI YA KIRAFIKI: YANGA 2-0 MLANDEGE
Yanga 2-0 MlandegeUwanja wa Azam ComplexDakika ya 61 Yanga wanapeleka mashambulizi kwa Mlandege Goal dakika ya 59, Tunombe Mukoko Dakika ya 50MCHEZO wa kirafiki leo Septemba...
KIKOSI CHA YANGA KITAKACHOANZA LEO DHIDI YA MLANDEGE FC, UWANJA WA AZAM COMPLEX
KIKOSI cha Simba kitakachoanza leo dhidi ya Mlandege FC, Uwanja wa Mkapa
KOCHA YANGA AWAPIGA MKWARA WACHEZAJI WAKE KISA PASI NDEFU
KOCHA Mkuu wa Yanga Mserbia, Zlatko Krmpotic amewapiga ‘stop’ wachezaji wake kucheza soka la pasi ndefu na badala yake kucheza pasi fupifupi wakati wakiwa...