MSERBIA WA YANGA AOMBA SIKU TANO ZA KUSUKA KIKOSI UPYA
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mserbia, Zlatko Krmpotic, ametoa kauli ya kibabe akisema siku tano sawa na saa 120 zinamtosha kabisa kusuka kikosi kitakachocheza kwa...
MSHAMBULIAJI MPYA WA YANGA ANAWAZA KUFUNGA TU
NYOTA mpya wa Yanga, Michael Sarpong amesema kuwa ndoto yake kubwa kwa sasa ndani ya timu hiyo ni kuendelea kufunga kwa kuwa ndiyo jukumu lake...
YANGA YAKOMAA NA MORRISON ALIYESAINI SIMBA
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umekanusha vikali taarifa zinazoenea kwamba wameliondoa jina la winga, Benard Morrison kwenye orodha ya wachezaji wao katika usajili uliokamilika hivi...
LIONEL MESSI BADO YUPOYUPO NDANI YA BARCELONA
Lionel Messi ametangaza kusalia katika kikosi cha Barcelona kwa msimu wa 2020/2021 kufuatia ugumu wa masuala ya kisheria katika mkataba wake yanayoweka zuio la...
SABABU YA MEDDIE KAGERE KUJENGA URAFIKI NA BENCHI HII HAPA
KOCHA Mkuu wa Simba, Mbelgiji Sven Vandenbroeck amefunguka kwamba straika wake, Meddie Kagere anakaa benchi kutokana na yeye kupanga na kuchagua timu kutokana na...
BREAKING:MESSI AWAJIBU LA LIGA KUHUSU ISHU YAKE YA MALIPO
BREAKING: BABA wa nyota wa Klabu ya Barcelona, Lionel Messi amesema kuwa ishu ya La Liga kutaka mwanae kulipa Euro Milioni 700 ili aweze...
KAGERA SUGAR YAJIVUNIA MAJEMBE YA SIMBA NA YANGA
KOCHA Mkuu wa Kagera Sugar, Mecky Maxime amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya msimu mpya wa 2020/21 huku akiamini kwamba usajili uliofanywa utampa...
JESHI KAMILI LA AZAM FC MSIMU WA 2020/21 HILI HAPA
Abdul Haji Omary 'Hamahama' Daniel Amoah Awesu Ally AwesuYakubu Mohamed Agrey Moris Ambross Ayubu Rueben Lyanga Salum Abubakary Salum 'Sure Boy' Shaaban Idd Chilunda Obrey Chola Chirwa Ismail Aziz Kader Never Tigere Emmanuel Charles...
MUGALU NYOTA MPYA WA SIMBA KUIKOSA IHEFU MAZIMA
MSHAMBULIAJI mpya wa Simba, Mkongomani, Chris Mugalu, tayari yupo nchini baada ya kurudi kutoka nyumbani kwao DR Congo alipokwenda kumaliza matatizo ya kifamilia ila...
NAHODHA YANGA ALIGOMEA BENCHI
NAHODHA wa sasa wa Yanga, Deus Kaseke, amefunguka kwamba, amejipanga kuendana na uwepo wa wachezaji wengi wapya ndani ya klabu hiyo, ili asije akateleza...