WAANDISHI WA HABARI WA TIMU YA WASIOOA WAWAFUNGA WALIOOA KWA PENALTI
WAANDISHI wa Habari Walioa wamepoteza kwa kufungwa kwa penalti 4-1 kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Wasioa uliochezwa leo Uwanja wa Chuo cha Sheria...
SASA MECHI KUPIGWA KAMA KAWAIDA, NYUMBANI NA UGENINI, VITUO HAKUNA
RASMI sasa mechi zote zitachezwa kwa mtindo wa nyumbani na ugenini bila kuwepo vituo kama ambavyo awali ilielekezwa.Dr. Hassan Abass, Katibu Mkuu wa Wizara...
BREAKING: MASHABIKI RUKSA KWENDA UWANJANI, UTARATIBU WATAJWA
DR.Hassan Abbas,Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni. Sanaa na Michezo amesema kuwa kuanzia ligi itakapoanza mashabiki ni ruksa kwenda viwanjani lakini kwa kuzingatia...
SERIKALI YATOA MUONGOZO RASMI UTAKAOTUMIKA KWENYE MASUALA YA MICHEZO
SERIKALI leo, Mei 31 imetoa mwongozo wa kufuata katika michezo ya ligi kuu za soka nchini ambazo zinatarajiwa kuanza Juni Mosi, 2020.Katibu Mkuu Wa...
YANGA YAPANGA KUSHTUA LEO BONGO NA LA LIGA
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa leo Mei 31 utashtua Bongo kutokana na yale watakayojadili wakati wa kukamilisha mchakato wa kutiliana saini mkataba wa kuelekea...
DAH! KUMBE AZAM FC NDIO WAMEPANIA NAMNA HII….
Kocha Msaidizi wa Azam FC, Vivier Bahati, amesema kuwa watafanya mazoezi mfululizo bila kupumzika ili kukifanya kikosi hicho kurudi kwenye ubora wake kabla ya...
LUC EYMAEL ANAAMINI KAGERA SUGAR WALA SI TATIZO
Kocha Mkuu wa Yanga, Luc Eymael, ametuma ujumbe mzito kwa wapinzani wake Kagera Sugar ambao watacheza nao katika robo fainali ya Kombe la FA...
HIVI HAPA VIGONGO 10 VYA RUVU SHOOTING
IKIWA imecheza mechi 28 Ruvu Shooting inayobebwa na serea ya 'Kupapasa Square' ipo nafasi ya 11 na kibindoni ina pointi 39.Imebakiza mechi zake 10...
MASHABIKI SASA KUPATA FURSA YA KUONA UHONDO WA FAINALI KOMBE LA FA
IMEELEZWA kuwa fainali ya mchezo wa Kombe la FA inayotarajiwa kuchezwa Agosti Mosi, Uwanja wa Wembley itahudhuriwa na idadi ya mashabiki 20,000.Kwa sasa viongozi...
MROMANIA WA AZAM FC KUANZA SAFARI YAKE NA GARI
ARSTICA Cioaba, Kocha Mkuu wa Azam FC anatarajiwa kurejea muda wowote kuanzia sasa baada ya kibali cha kuja Bongo kupatikana na ataanza kwa usafiri...