MKHITARYAN HUENDA AKASEPA NDANI YA ARSENAL
HENRIKH Mkhitaryan nyota wa timu ya Arsenal anayekipiga ndani ya Klabu ya Roma kwa mkopo huenda akabaki jumla kikosini humo iwapo watamhitaji.Nyota huyo mwenye...
MKALI WA PASI ZA MWISHO YANGA AFICHUA KILICHO NYUMA YA KUPETA KWAKE
JUMA Abdul, nahodha msaidizi wa Yanga amehusika kwenye mabao matano kati ya 31 yaliyofungwa na Yanga kwenye Ligi Kuu Bara.Abdul ametoa pasi tano ndani...
HIVI NDIVYO NYOTA WA KAGERA SUGAR ANAVYOLINDA KIPAJI CHAKE NA KUCHUKUA TAHADHARI
YUSUPH Mhilu, nyota wa timu ya Kagera Sugar amesema kuwa kwa sasa anaendelea na mazoezi ya kulinda kipaji chake ili kuwa bora endapo Ligi...
HAALAD: LAZIMA TUUNGANE KUPAMBANA NA CORONA, USIJIHISI UPO PEKE YAKO
NYOTA Erling Braut Haalad anayekipiga Dortmund kuhusu Virusi vya Corona ni lazima tuungane wote katika mapambano.Virusi vya Corona vimekuwa janga la dunia ambapo kwa...
KUHUSU GADIEL MICHAEL NA ZIMBWE NDANI YA SIMBA SOMO LIPO HIVI
GADIEL Michael Mbaga alitua Simba kama sahihisho la Mohammed Hussein Zimbwe kwa maana ya kuwa akionekana ni bora kwa mambo kadhaa.Wakati anatua Simba, Zimbwe...
AINSELY CORY HANA UHAKIKA NDANI YA ARSENAL
AINSLEY Cory Maitland-Niles, raia wa Uingereza hana uhakika wa kubaki ndani ya kikosi cha Arsenal kwa sasa.Mikel Arteta, Kocha Mkuu wa Arsenal amekuwa hana...
HESABU ZA MBARAKA YUSUPH ZIPO NAMNA HII
MBARAKA Yusuph, mshambuliaji wa Azam FC amesema kuwa kwa sasa anaendelea na mazoezi binafsi akiwa nyumbani ili kurejea kwenye kasi yake ya zamani.Mbaraka alikuwa...
SIMBA YAMPA PONGEZI KAHATA
UONGOZI wa Simba umempa pongezi Francis Kahata kwa kujitolea kwa jamii yake nchini Kenya.Kahata ambaye kwa sasa yupo nchini Kenya alitoa msaada wa lita...
HII HAPA TIMU AMBAYO NYOTA GUSTAVO WA BRAZIL ALICHEZA MECHI NYINGI
LUIS Gustavo Dias ni kiungo raia wa Brazil anayekipiga ndani ya klabu ya Fenarbahce kwa sasa.Kwenye maisha yake ya soka ni timu ya Vfl...