MASTAA WATANO WA SIMBA NJE KIKOSI CHA KWANZA LIGI IKIREJEA

0
IKIREJEA Ligi Kuu Bara mastaa watano ndani ya Simba hawatakuwepo kikosi cha kwanza:- Clatous Chama kiungo mshambuliaji yupo Zambia.Francis Kahata kiungo mshambuliaji yupo Kenya.Meddie...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATANO

0
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Jumatano lipo mtaani jipatie nakala yako

YANGA INA HESABU KALI KIMATAIFA, YAHITAJI KUTWAA KOMBE LIGI IKIREJEA

0
HARUNA Niyonzima, kiungo wa Yanga amesema endapo Ligi Kuu Bara itarejea timu yake ina uhakika mkubwa wa kucheza michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika...

KOCHA AMPELEKA HAALAD APELEKWA REAL MADRID

0
ERLING Haaland yupo tayari kujiunga na Real Madrid. Hiyo ni kwa mujibu wa kocha wa zamani wa Byrne FK, Alf Ingve Berntsen ambaye alimnoa straika huyo...

GSM WANAKUJA NA KITU KIPYA HUKO YANGA SC, KESHO NDANI YA CHAMPIONI JUMATANO

0
KESHO ndani ya Championi Jumatano, GSM wanakuja na kitu kipya huko

ISHU YA BILIONI MOJA YA MAGUFULI YAMVUTA KIGOGO TAKUKURU

0
KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania, Wilfred Kidau amehojiwa leo na Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa Tanzania (Takukuru).Kidau alionekana akiingia ofisini majira...

DILI LA SIMBA NA MSHAMBULIAJI MGHANA WA ASANTE KOTOKO LIMEISHA KWA MTINDO HUU

0
INAELEZWA kuwa uongozi wa Simba ulikuwa kwenye vita nzito ya kuwania saini ya mshambuliaji wa Asante Kotoko ya Ghana, Yacouba Songné, raia wa Burkina...

MTAMBO WA MABAO NDANI YA SIMBA WAMKOSHA SVEN, SASA KAZI IPO

0
MIRAJ Athuman, 'Sheva' kiungo mshambuliaji ndani ya Klabu ya Simba amemkosha Kocha Mkuu, Sven Vandenbroeck ambaye amesema kuwa ana imani msimu ujao atafanya mambo...

KILICHOMZUIA MOLINGA KUSEPA BONGO HIKI HAPA

0
DAVID Molinga, mtupiaji namba moja ndani ya Yanga alikuwa na mpango wa kusepa Bongo kabla ya Machi 18 baada ya Ligi Kuu Bara kusimamishwa...

SIMBA WAACHE TU, WAIPIGA BAO YANGA KWA KIUNGO HUYU FUNDI WA KUCHEKA NA NYAVU

0
SASA rasmi kiungo mshambuliaji wa Simba, Hassani Dilunga, amesaini mkataba wa miaka miwili ya kuendelea kukipiga Msimbazi baada kufikia muafaka mzuri kwa dau la...