MOHAMED SALAH AMPASUA KICHWA JURGEN KLOPP KISA KUKOSEKANA KWAKE MIEZI MINNE

0
LIVERPOOL timu inayoongoza Ligi Kuu England kwa sasa ikiwa imecheza mechi 29 na kujikusanyia pointi 82 kibindoni ipo kwenye hatihati ya kumkosa mshambuliaji wao...

ALIYEWAPOTEZA SIMBA JUMLA UWANJA WA TAIFA ATOA SOMO HILI KWA MASHABIKI JUU YA CORONA

0
BERNARD Morrison, kiungo mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa ni muhimu kwa wachezaji pamoja na mashabiki kuchukua tahadhari ya Virusi vya Corona kwani afya ni...

LUSAJO AFUNGUKA ISHU YAKE YA KUTUA YANGA

0
RELIANTS Lusajo, mshambuliaji wa Namungo FC amesema kuwa hana tatizo na Uongozi wa Yanga iwapo watamhitaji kwani yeye ni mchezaji hachagui kambi.Lusajo amekuwa kwenye...

WAWILI WAJIENGUA NDANI YA YANGA KWENYE NAFASI ZAO ZA UONGOZI

0
 SHIJA Richard, Mjume wa Kamati ya Yanga inaelezwa kuwa amejiuzulu nafasi hiyo leo Machi 27 bila kuweka wazi sababu za kujiuzulu kwake.Richard ni miongoni...

MUUAJI WA SIMBA AJICHIMBIA DODOMA KUNOA KIWANGO CHAKE

0
GERAD Mdamu, mshambuliaji wa Mwadui FC kwa sasa amejichimbia mkoani Dodoma akiendelea kunoa kiwango chake wakati huu Ligi Kuu Bara ikiwa imesimamishwa kutokana na...

CHELSEA ZAIWINDA SAINI YA MLINDA MLANGO MANUEL NEUR

0
MANUEL Neuer, mlinda mlango wa Bayern Munich ameingia kwenye anga za Klabu ya Chelsea ambayo inaiwinda saini yake.Frank Lampard, Kocha Mkuu wa Chelsea anahitaji...

MABAO MAWILI YA KAGERE KATI YA 19 AMEFUNGA DAKIKA ZINAZOFANANA KIPINDI CHA PILI

0
MEDDIE Kagere mshambuliaji wa Simba kwenye mabao yake 19 ni mawili amefunga dakika zinazofana kwa kipindi cha pili.Simba ikiwa imefunga mabao 63 ikiwa nafasi...

MORRISON: JUMA ABDUL ASINGENIACHIA, NISINGEIFUNGA SIMBA

0
Na Saleh AllyKATIKA Gazeti la Spoti Xtra jana Alhamisi, kiungo nyota wa Yanga, Bernard Morrison, alizungumzia mambo mbalimbali likiwemo suala la namna ambavyo amevutiwa...

YALIVYO MAPAMBANO YA MORRISON DHIDI YA CORONA AKIWA NYUMBANI

0
Na Saleh AllyUGONJWA wa Corona sasa ni tishio la dunia na unaona umelazimisha kusimama hadi kwa michezo mbalimbali duniani ukiwemo ule wenye nguvu zaidi...

ISHU YA MGAO WA MKWANJA WA GSM YANGA YAFANULIWA NA VIONGOZI

0
DAVID Ruhago, Katibu Mkuu wa Yanga amesema kuwa suala la mgawao wa fedha kwa wachezaji wa Yanga wanapopata ushindi halipo kwenye mkataba wa wachezaji...